Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnakutana kwa majina yenu halisi siyo majina ya JF.. which will be fun kwa sababu huwezi kumsema mtu vibaya hapo (labda sisi wengine ambao tunajulikana tulipo) maana unaweza ukawa ndiye uliyemchunuku.
ni wazo zuri but with all due respect mzee ... its kinda risky ... puppets tunao wengi sana humu ndani as JF members ... wengine wako kwenye payroll specifically kwa kazi hiyo so i beg to differ ...!
Mkuu X-Paster, kupata moderator ni kazi ngumu, tushawahi kupokea maombi toka kwa members kadhaa wakitaka kuwa moderators, wengi tuliwachunguza kwanza na baadae kugundua ndio waporomosha matusi maarufu... Haikusaidia, kuna wawili wanaonekana wanafaa wakiwa trained vema, tunalifanyia kazi.Forum kama hii ilipaswa kuwa na mod si chini ya watano (5)...
Mkuu MziziMkavu; growth ya JF ni 25.62% per month, na kwa sasa members wengi wanaoitembelea JF wanatokea Tanzania, hivyo hatuwezi kuepuka kufanya mabadiliko muhimu ili wanachama hawa wafikishe ujumbe kwa jamii ya watanzania ambayo haina access na mtandao wa intaneti.Mkuu invisible hii kiboko sijawahi kuona Forum yoyote ya Kiswahili tangu niingie kwenye Mtandao wa internet inayopata Hits 45 Millioni itabidi muwe na Moderator wa kutosha Mkuu invisible poleni sana kwa kazi nzito
Mkuu; tuna members zaidi ya 15,000/= na Premium Members ni 188 tu, nadhani hawa bado wanastahili pongezi kwa uamuzi wao wa walau kuchangia chochote walicho nacho kwa ajili ya ufanisi wa JF, tunaweza kufikiria kufanya unavyopendekeza siku za usoni lakini nadhani kwa sasa bado tuendelee kuwapa heshima kwa moyo wao wa kujitolea.Thanks Invisible... nadhani tungeongeza benefits za premium members, na kuweka ukomo wa mtu kuwa premium member; kila membership ina ukomo unaoweza kuwa renewed kwa terms fulani