Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapinzan kwa sasa matumbo joto, wanapishana misalani tu
Unamaanisha mpinzani wenu Act? Au Shibuda?
Hizi siasa za taarabu za mipasho sasa.
Bado lugha inaserereka kwenda nyuma, pamoja na kusimama majukwaani kwa miaka bado mtu anaandika "tayali"
Watapiga hewa labda, si wako wenyewe? Juzi nilikuepo na Majaliwa wakati wanazindua, wana hoja mbili tu moja, kumsifia Magu na kuuponda Upinzani. Fullstop
Mmeanza maneno yenu ya uvunjifu wa umoja wa kitaifaWapinzani wa hii nchi kaeni chonjo,trekta mpya hii inang'oa mpaka visiki.
wanaofanyaga siasa ni uadui wapo ubelgiji na Dubai kwa sasaHizi siasa za taarabu za mipasho sasa.
Leta sera. Acha kukera.
Leta hoja. Acha viroja.
Upinzani wa kisiasa si uadui.
Bara kisasa si Kisiwandui.
Gamba makapi?
Huyu mshamba wa wapi?
Chockoooo
Mh, "kuwaweka tayali, kuwaweka hamasa"! Huyu mwenezi taifa hakupata hata nafasi kuhariri hiyo taarifa?!
hivi hiyu Boflo ni mzima kweli?
Kwani Wakurugenzi wasimamizi wa Uchaguzi wanasemaje? Wameacha kupora kura?Wapinzani wa hii nchi kaeni chonjo,trekta mpya hii inang'oa mpaka visiki.