Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa kampeni wa CHADEMA Jimbo la Nyamagana, Mwanza uwanja watapika

Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa kampeni wa CHADEMA Jimbo la Nyamagana, Mwanza uwanja watapika

Nina hakika, hili jimbo huyu dogo Pambalu asipofanyiwa huu ujinga wa tume wa siku hizi analichukua asubuhi saa mbili, anakubalika mpaka nashangaa, sijui ana nyota ya wapi huyu!.

Na nyie mnaosema Chadema inakufa, sijui mkiona vijana wadogo kama Pambalu wakiwasha moto mnakuwa kwenye hali gani?
 

Attachments

  • Mkutano wa ufunguzi wa Kampeni za Mgombea Ubunge wa Jimbo la Nyamagana Mhe. @joh ( 640 X 640 ).mp4
    2.5 MB
Ndio hao waliotapika!

JamiiForums1161811363_600x508.jpg
 
Kanda pendwa imethiitisha kumkumbatia msukuma feki ni Ungese tu.
 
Back
Top Bottom