technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Bila figisu Majimbo mengi ya kanda ya ziwa yanarudu upinzani Tena kaa 75%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbwembwe tu,huyu Pambalu hata udiwani hawezi kushinda ndioa aje ashinde ubunge?Viwanja vya Mabatini, Nyamagana, Mwanza uzinduzi wa kampeni za mgombea ubunge jimbo la Nyamagana @JPambalu leo. Wananchi wanasema wanakwenda na dogo janja. #nohatenofear ✌ https://t.co/etl8bWJny2
Umeiga mpaka matusi sasa!Kanda pendwa imethiitisha kumkumbatia msukuma feki ni Ungese tu.
Mwenye macho haambiwi tazama!!!Hahaah! Social distance observed, watu wako scattered sana hao...
Litaje tusi gani?Umeiga mpaka matusi sasa!
Nina hakika, hili jimbo huyu dogo Pambalu asipofanyiwa huu ujinga wa tume wa siku hizi analichukua asubuhi saa mbili, anakubalika mpaka nashangaa, sijui ana nyota ya wapi huyu!.
Na nyie mnaosema Chadema unakufa, sijui mkiona vijana wadogo kama Pambalu wakiwasha moto mnakuwa kwenye hali gani?
Mbona mwenyekiti wa ccm alikataa kwenda kugombania kwao BurundiAkagombee kwao
Hivi kwa nini CHADEMA wao hawaongelei ndege(tausi) na madaraja