Elections 2010 Uzinduzi wa kampeni wa CUF jimbo la Bukoba Mjini

Elections 2010 Uzinduzi wa kampeni wa CUF jimbo la Bukoba Mjini

Mchungaji angalia na hii pia kisha sema kama kafu bado wana chama jimbo la Bukoba mjini.

attachment.php
 
Mchungaji angalia na hii pia kisha sema kama kafu bado wana chama jimbo la Bukoba mjini.

attachment.php

Angalia wakina mama hawa walivyokaa mkao wa kuhitaji uongozi wa Chadema ili kuwakomboa kweli na si ile porojo ya Salma kwa ajili ya kukaa ikulu huku hawa wakina mama wakiishi maisha yasiyo na matumaini.
 
Huko Daily News na Habari Leo CUF wanaeleza kuwa wanahujumiwa na kufanyiwa fujo na Chadema - yaani wanawalaumu Chadema badala ya CCM ! Kaazi kweli kweli !
 
wamejiandikisha? hilo ni suala muhimu
hahahahahahahaha!!!!! mchungaji mimi nimejiandikisha lakini katika jimbo lingine la mkoa mwingine. Hata hivyo ingawa niliko mbunge wa Chadema kaenguliwa, bado nitatoa kura yangu kwa Diwani na Dr Slaa ambaye ni mgombea wa chama cha Chadema.
Usiwe na shaka na hilo.
 
Huko Daily News na Habari Leo CUF wanaeleza kuwa wanahujumiwa na kufanyiwa fujo na Chadema - yaani wanawalaumu Chadema badala ya CCM ! Kaazi kweli kweli !
Mag3 katika mazingira haya hapa napo kweli unaweza kusema wamehujumiwa? Achana na magazeti yanayoandika pumba. Huu ndio ukweli wenyewe.

Kuna taarifa kwamba hata mgombea wao CUF katika jimbo la Bukoba mjini kawa recruited na CCM wakidhani itavuruga kura za Chadema. Na hapo ndipo walipokosea kwani hawakusoma vizuri nyakati badala yake wamevuruga zao.
 
Nimesema niko bukoba.kesho (alhamisi) chadema inazindua ubunge pale kashai.nitawaletea live
 
Isije kuwa watu wamekata tamaa hata hawataki siasa bukoba yote; ngoja kesho tuone toka kwa plato
 
Nimesema niko bukoba.kesho (alhamisi) chadema inazindua ubunge pale kashai.nitawaletea live
Yes tuletee mkuu tunahitaji kujua nini kinajili huko. Tunasubiri na picha pia
 
Plato kama ningelijua kuwa kesho mambo yako hivi ningesafiri kwenda Bukoba. Well ngoja nione asubuhi kama nitapata nafasi ya kupita hewani nije niwa join! Nina shauku kubwa!
 
Mimi nimependa hiyo mandhari, mlima na mawemawe! Hivyo hapo ndio Bukoba Mjini? By the way huo mkutano ulifanyika kwa hisani ya CocaCola?
Huu uwanja unatumika kwenye shughulika na shughuli mbali mbali za kijamii. Hivyo hata hawa watu wa cocacola wamekuwa wakitangaza nia zao kupitia paintings zao uwanjani hapo.

Zamani uwanja huu uliitwa uwanja wa Uhuru maana mikutano yote enzi za kutafuta uhuru ilifanyika hapo. Na umebaki ni uwanja unaoendelea kutumika kwa mikutano mingi na maonyesho kadhaa (sio sabasaba wala nanenane) yanayofanyika mjini Bukoba.

Mji umezungukwa na milima hivyo kwa mbali unakoona ni eneo iliko shule maarufu ya zamani ya wasichana ya sekondari Rugambwa(aionekani) na ni sehemu iliyokuwa na miamba mingi sana lakini sasa watu wameyavunja majabali hayo na kuweka makazi yao. Ukipata nafasi tembelea mji huo.
 
Wagombea ubunge na udiwani kwa tiketi ya chadema mkoani Kagera
attachment.php
 

Attachments

  • DSC_1093.JPG
    DSC_1093.JPG
    390.3 KB · Views: 93
  • DSC_1106.JPG
    DSC_1106.JPG
    258.9 KB · Views: 39
  • IMGP9371.JPG
    IMGP9371.JPG
    39.9 KB · Views: 178
  • DSC_1096.JPG
    DSC_1096.JPG
    51.7 KB · Views: 112
  • IMGP9381.JPG
    IMGP9381.JPG
    33 KB · Views: 86
  • IMGP9444.JPG
    IMGP9444.JPG
    38.8 KB · Views: 72
  • IMGP9365.JPG
    IMGP9365.JPG
    23.3 KB · Views: 75
  • IMGP9375.JPG
    IMGP9375.JPG
    24.7 KB · Views: 152
  • IMGP9411.JPG
    IMGP9411.JPG
    31.1 KB · Views: 22
  • IMGP9446.JPG
    IMGP9446.JPG
    39.2 KB · Views: 117
  • IMGP9435.JPG
    IMGP9435.JPG
    32.1 KB · Views: 39
  • IMGP9447.JPG
    IMGP9447.JPG
    36.9 KB · Views: 145
  • IMGP9451.JPG
    IMGP9451.JPG
    40.8 KB · Views: 110
  • IMGP9440.JPG
    IMGP9440.JPG
    18.8 KB · Views: 93
  • IMGP9448.JPG
    IMGP9448.JPG
    35.8 KB · Views: 85
  • IMGP9412.JPG
    IMGP9412.JPG
    30.5 KB · Views: 94
Kiongozi wa chadema akipokea kadi ya Chama cha mapinduzi kutoka kwa baadhi ya wanachama waliorudisha kadi hizo na kujiunga na Chadema

attachment.php
 
Baadhi ya wananchi wa jimbo la Bukoba mjini wakisikiliza hotuba katika uzinduzi wa kampeini za chama cha maendeleo na demokrasia zilizofanyika katika eneo la Kashai mjini Bukoba

attachment.php
 
Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema katika jimbo la Bukoba mjini Wilfred Lwakatare akiashiria kichocheo cha "peoples power"

attachment.php


Lwakatare akinadi sera za Chadema katika viwanja vya Kashai mjini

attachment.php


attachment.php


attachment.php


Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema akitoa kadi kwa mwanachama mpya Chadema aliyekuwa mwanachama wa CCM

attachment.php
 
Wananchi waliohudhulia ufunguzi wa kampeini hizo za Chadema katika viwanja vya Kashai mjini Bukoba

attachment.php


attachment.php


attachment.php


Wasanii wakiwa kazini katika hafla ya ufunguzi wa kampeini

attachment.php


Hizi picha nimeletewa leo toka Bukoba kwa rafiki yangu ambaye ni mpiga picha.
Need more?
 
Back
Top Bottom