Zanzibar 2020 Uzinduzi wa kampeni za CCM Zanzibar: Mwinyi kuhakikisha Zanzibar inanufaika na bahari, kuleta Upendo na amani

Mimi pia niliwaza hilo ona siku hizi ana madeni kibao mpaka serena wanamdai million 150
 
Safari hii ni kuwapeleka mchaka mchaka tu
Sherehe ya Makubwa yaliyotendeka Miaka Mitano (5)
Uimara wa Muungano wetu
Ukuajui wa Demokrasia,
Ukuaji wa Kiuchumi,
ushirikishwaji wa jamii katika maamuzi ya serikali,
uzinduzi wa kampeni za mgombea urais ZANZIBAR .

#CCM
#JPM2020
#YajayoNiNeemaTupu
#Zanzibar
#Mwinyi2020
 

Attachments

  • VIJANA.jpeg
    105.2 KB · Views: 3
Kaugua aisee ghafla tu. Na sasa yuko Chattle!
Acheni kujitoa ufahamu, Magufuli kaona apumzike maana timu iliyopo uwanjani Mama Samia na Majaliwa inatosha Sana, chadema nanyi mmetuma poyoyo wenu Salum Mwalimu akahutubie uwanja mtupu!
Huyo hafai kwenye maonesho labda muendelee na Mr Lissu labda washangaaji wataongezeka.
 
Kiukweli ujapima vizuri,, fikilia upya ndugu yangu lakini watu wanatembea kwa usafili siku hizi sio kwa miguu ,, unavyosema wanasombwa unawakosea sana wao sio mizigo,,sema wanaenda kusikiliza sela safi za Dkt H.A.K.Mwinyi
Wapinzani wa nchi hii muda wa kujinadi kwa sera na kujipambanua nini utawafanyia wakikupa dhamana wao muda wote ni propaganda zisizo na maana hata kwao wenyewe, imagine kusema ccm anatumia wasanii au anasomba watu inakuongezea vipi kura kukupa ushindi?
 
Zanzibar tunasimama na Mwinyi,✊✊
Hakika ni Neema tupu ✊
 
Tunamwomba radhi kuwa hatutampigia kura yeye, ila tutampigia Hussein
Hapana kwa kweli, hao jamaa HAKUNA haja kuwaomba radhi. Watu matusi eti uhanith Sasa Basi. Huyo wa kuomba radhi kweli? Acha tutimize wajibu wetu ambao ni haki kisheria.
 
Kiukweli ujapima vizuri,, fikilia upya ndugu yangu lakini watu wanatembea kwa usafili siku hizi sio kwa miguu ,, unavyosema wanasombwa unawakosea sana wao sio mizigo,,sema wanaenda kusikiliza sela safi za Dkt H.A.K.Mwinyi
Wanaosombwa na mabasi pia wanasafirishwa kama mizigo ulimsikiliza Mama Maria Nyerere kule Mara??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…