Uzinduzi wa mwendokasi Tanzania

Unachekesha kwani hiyo transformer haikufungwa na watu na akili zao?

Imeakuaje wakati wa kuwekwa hiyo miundombinu iwe something sensitive kwenye kuzindua the same thing iwe nonsense?
Punguza presha yaani unatokwa na mishipa shingoni ukitetea huu usanii?
 
Nilijua utafika humu kutetea huu utoto. Yaani watu na akili zao wanasimama chini ya danger/hatari. Kuzindua transfoma? Makubwa haya. Kesho watapanda kwenye nyaya. [emoji38] Bado utasema tu hapo sawa.
Na kwa taarifa yako ni 1,200 tu ya Kenya unatakiwa kuchangia umeme kuletwa mpaka chumbani kwako yaani hiyo pesa ukitoa ndio mambo yote yameisha

Na jua huko Kenya hiyo ni ndoto ya mchana na hiyo ndio sababu JPM anakubalika na wenye akili timamu tu.
 
Ikiwa walizindua lift (elevator) sembuse "Hi-tech" transformer? Juzi wamezindua ukuta vichakani Mirerani pia. Nadhani electric SGR uzinduzi wake utakua Sikukuu nchi nzima! πŸ˜€πŸ˜€
 
Ikiwa walizindua lift (elevator) sembuse "Hi-tech" transformer? Juzi wamezindua ukuta vichakani Mirerani pia. Nadhani electric SGR uzinduzi wake utakua Sikukuu nchi nzima! πŸ˜€πŸ˜€
Hahaha. Shida tupu. πŸ˜€
 
Picha kuntu kuhusu uzinduzi wa nguzo mbili na transfoma yake hapa hapa kwa jirani Bongo. Aisee waafrika tunalo. Nasikia siku hizi kuna wale wanaotembea na makasi kama makarani na kalamu. [emoji23]
Hi mulisaaa atakuja akuambie ndio the most modern in east and Central africa,mibongo vitukoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Na kwa taarifa yako ni 1,200 tu ya Kenya unatakiwa kuchangia umeme kuletwa mpaka chumbani kwako yaani hiyo pesa ukitoa ndio mambo yote yameisha

Na jua huko Kenya hiyo ni ndoto ya mchana na hiyo ndio sababu JPM anakubalika na wenye akili timamu tu.
Eti nini ni ndoto Kenya? Kwenye usambazaji wa umeme mna cha kujifunza kutoka Kenya. Takwimu za Dec 2017 ndio msema kweli. Kenya tupo kwa 67% wakati Tz bado hamjafika 35%.
 
Hi mulisaaa atakuja akuambie ndio the most modern in east and Central africa,mibongo vitukoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Eti hiyo Afrika nzima isipokuwa misri na sauz ipo Tz pekee yake! [emoji23][emoji23][emoji23] Nilidhani usanii unakuaga tu kwenye bongo fleva.
 
Hayo ni maeneo ambao umeme haujawi kufika tokea Uhuru na kuhusu kituo cha kuchochea au kupooza umeme, transformer ndio kazi yake hiyo na hapo naona unaona hiyo ni transformer
Hizi ndio nyumba Watanzania wanazoishi? Kweli uvivu mbaya.
 
Eti nini ni ndoto Kenya? Kwenye usambazaji wa umeme mna cha kujifunza kutoka Kenya. Takwimu za Dec 2017 ndio msema kweli. Kenya tupo kwa 67% wakati Tz bado hamjafika 35%.
Hehehehe, endelea kufahamu hivyo, sisi huku 2020 vijiji vyote Tz vitakuwa na umeme.
 
Tanzania is shitty country everything is totally unplanned@ am very shy to my country
 
Hehehehe, endelea kufahamu hivyo, sisi huku 2020 vijiji vyote Tz vitakuwa na umeme.
Vita, tuta wimbo mi uleule wa watu wavivuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hehehehe, endelea kufahamu hivyo, sisi huku 2020 vijiji vyote Tz vitakuwa na umeme.
. You must remember that Tanzania is bigger country some time you can refers as a little continent unlike Kenya which is a tiny country with the same size as monduli district in nothern Tanzania
 
Hizi ndio nyumba Watanzania wanazoishi? Kweli uvivu mbaya.
Hiyo ni picture fikirishi kwamba nchini Tanzania mpaka mtu fukara wa mwisho huko vijijini ndani interior ameunganishwa na umeme.

Ni kiasi cha 24,000 umeme unakufikia hata kama zutahitajika nguzo 300 kukufikia na waya roller 20 hiyo pesa yako kidogo itawasha umeme nyumbani kwako na kama kutakua na heavy geographical challenges basi serikali kwa hiyo hiyo pesa yako ndogo itakufungia solar power yenye uwezo kama umeme wa TANESCO
 
Picha kuntu kuhusu uzinduzi wa nguzo mbili na transfoma yake hapa hapa kwa jirani Bongo. Aisee waafrika tunalo. Nasikia siku hizi kuna wale ambao wanatembea na makasi kama makarani na kalamu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna watu wajinga na wapumbavu kwa mwendokasi. Hivi jf hamjui kuwa sio facebook wala instagram unapost tu kila ujinga unaoupata kwa wajinga wenzako. Hebu kama umri wako ninunader 20 nenda kapost huu ujinga fb. Utakutana na school boys huko muongee lugha zinazofanana
 
Jini kisirani, [emoji38][emoji38][emoji38] kisirani chako wapelekee walosimama chini ya transfoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…