pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
- Thread starter
- #21
Punguza presha yaani unatokwa na mishipa shingoni ukitetea huu usanii?Unachekesha kwani hiyo transformer haikufungwa na watu na akili zao?
Imeakuaje wakati wa kuwekwa hiyo miundombinu iwe something sensitive kwenye kuzindua the same thing iwe nonsense?