Uzinzi mnauchukuliaje?

Uzinzi mnauchukuliaje?

2v1

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2024
Posts
247
Reaction score
358
Habari zenu jf, moja kwa moja kwenye mada hivi uzinzi mnauchukuliaje, maana nilikuwa nasikiliza kipindi cha mwarobaini cha chaneli ten, nadhani kuna swali walikuwa wameuliza ambalo linauhusu siri ambazo umewahi kufanya wakati uko na x wako na hajawai kuzijua mpaka leo. Baadhi ya majibu kutembea na mashosti zake x, kuzaa na mjomba, kutembea na marafiki wa kiume, kutembea na baba na mtoto ingawa demu alimuacha mtoto kazamia kwa mshua. Nimejikuta naumia ndani yangu ghafla, alafu na kuwa na maswali mengi kwa Mungu wangu cjui hata nisemeje. Hivi nyie wezangu mnachukuliaje
 
Leo nilihudhuria ibada,ktk homilia Padre akatoa mfano namna dunia ya leo watu wanavyoaminishwa kwamba hii miili yetu ni mali yetu na siyo Hekalu la Roho Mtakatifu (Wakorinto 1 6:19) ,somo muhimu sana la kujua kusudi la uzima tulio nao,nguvu tulizo nazo akili zetu tunazitumia kuwaza nini?

Watu wanaamua tu wazini,waibe waue wenzao,wasengenye wenzao kuwakatishia ridhiki zao yote yakifanywa na kiumbe ambae ilibidi awaze mema kwake na kwa wenzake
 
Napenda kuoa lakini inabidi nikaze roho sana
Kama baba na mama wapo na wanapenda maendeleo yako washirikishe hilo jambo hawatakuangusha wao wameona mengi na wameishi kwingi.

Punguza vigezo vya mke umtakae kigezo cha kwanza kiwe ni “unatafuta mama na mwalimu wa watoto wako" the rest acha Mungu atende.
 
Napenda kuoa lakini inabidi nikaze roho sana
Oa darasa la Saba asiyekopa vikoba/kausha damu, aseiyekunywa pombe, asiyependa kupaka rangi/kubandika kucha, asiyependa mawigi, asiyependa kusuka nywele, asiyekuwa mlokole, asiyeimba kwaya na asiyekuwa na mashosti.
 
Oa darasa la Saba asiyekopa vikoba/kausha damu, aseiyekunywa pombe, asiyependa kupaka rangi/kubandika kucha, asiyependa mawigi, asiyependa kusuka nywele, asiyekuwa mlokole, asiyeimba kwaya na asiyekuwa na mashosti.
Sizani kama kuna mwanamke wa aina hiyo kwa dunia ya sasa, sema nitapewa wa kufanana na miye
 
Back
Top Bottom