Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Bas tufanye mimi bado najitafuta.mwanaume yeyote Rijali kuspend pesa kwa wanawake ni kitu cha kawaida sana wala haiumi unless bado unajitafuta.!!
Zile amri zilikuwa za waisrael.Imeandikwa USIZINI, Lakini amri hii inaongozwa kwa kuvunjwa
ππHamna gharama mkuu, sema tu hauna hela....π€£ ndio maana unapigia hesabu kulipia room wakati ma-tycoons wanalipia nyumba nzima masaki na mikocheni..π
ukweli mtupu....inakumaje wakati ndio burudani nambari one hapa duniani? mie sielewi kabisa. sasa usipotumia hela kwenye mbususu unatumia hela kwenye nini? magari?ππππmwanaume yeyote Rijali kuspend pesa kwa wanawake ni kitu cha kawaida sana wala haiumi unless bado unajitafuta.!!
ukweli mtupu....inakumaje wakati ndio burudani nambari one hapa duniani? mie sielewi kabisa. sasa usipotumia hela kwenye mbususu unatumia hela kwenye nini? magari?ππππmwanaume yeyote Rijali kuspend pesa kwa wanawake ni kitu cha kawaida sana wala haiumi unless bado unajitafuta.!!
Anything for vineeeeeennahπ π€
Siyo kule kwenye chips kuku 45,000/=Anything for vineeeeeennahπ π€
Kama mtoa mada hataki gharama wakatrombanie kwake wapike kwanza ili kuepuka gharama ππππππ!
Siyo kule kwenye chips kuku 45,000/=