Uzinzi/ Uasherati ni gharama!

Uzinzi/ Uasherati ni gharama!

izo gharama ulizotaja apo ni chamtoto especially kama una madem chini ya 10.
kama una zaidi ya hao af uamke mwingine anaitaji ya kusuka, mwingine kodi, mwingine anaumwa, mwingine anaitaji ya gesi, mwingine ya mchezo na vikoba, mwingine yupo mkoani anaitaji nauli aje mbona utajua ujui
Simpi dem hela kijinga namna hii.
 
izo gharama ulizotaja apo ni chamtoto especially kama una madem chini ya 10.
kama una zaidi ya hao af uamke mwingine anaitaji ya kusuka, mwingine kodi, mwingine anaumwa, mwingine anaitaji ya gesi, mwingine ya mchezo na vikoba, mwingine yupo mkoani anaitaji nauli aje mbona utajua ujui
😁😁😁😁
Kuwa na wote hao mi ulafi asee! Sasa jamaa zako wakose?
 
Uzinzi na uasherati una gharama kubwa mno!

MOJA WAPO YA GHARAMA YA UZINZI/UASHERATI!

1. Gharama ya Vyumba vya kufanyia Uzinzi/Uasherati wenu

2. Gharama za vyakula vya watu wawili (Chako nacha Mzinzi/Muasherati mwenzio)

3. Gharama za vinywaji vya watu wawili ( Vyako navya Mzinzi/Muasherati mwenzio)

4. Gharama za Usafiri ya watu wawili.

5. Gharama za Matibabu (Endapo umepata Kisonono,Kaswende au Pangusa).

6. Gharama za Kufata dawa za kumeza kila siku (Endapo umepata HIV/AIDS)

7. Gharama ya kifo.


ENDELEA NA UZINZI/UASHERATI TU LAKINI MWISHO WAKE NI MBAYA!
lakini sasa kwa niini mbususus tamu mie ndio nashindwa kuelewa hapo tuu.
 
Uzinzi na uasherati una gharama kubwa mno!

MOJA WAPO YA GHARAMA YA UZINZI/UASHERATI!

1. Gharama ya Vyumba vya kufanyia Uzinzi/Uasherati wenu

2. Gharama za vyakula vya watu wawili (Chako nacha Mzinzi/Muasherati mwenzio)

3. Gharama za vinywaji vya watu wawili ( Vyako navya Mzinzi/Muasherati mwenzio)

4. Gharama za Usafiri ya watu wawili.

5. Gharama za Matibabu (Endapo umepata Kisonono,Kaswende au Pangusa).

6. Gharama za Kufata dawa za kumeza kila siku (Endapo umepata HIV/AIDS)

7. Gharama ya kifo.


ENDELEA NA UZINZI/UASHERATI TU LAKINI MWISHO WAKE NI MBAYA!
GHARAMA KUBWA KULIKO ZOTE NI KIFO aidha kwa Magonjwa ya ngono au kuuawa
 
Uzinzi na uasherati una gharama kubwa mno!

MOJA WAPO YA GHARAMA YA UZINZI/UASHERATI!

1. Gharama ya Vyumba vya kufanyia Uzinzi/Uasherati wenu

2. Gharama za vyakula vya watu wawili (Chako nacha Mzinzi/Muasherati mwenzio)

3. Gharama za vinywaji vya watu wawili ( Vyako navya Mzinzi/Muasherati mwenzio)

4. Gharama za Usafiri ya watu wawili.

5. Gharama za Matibabu (Endapo umepata Kisonono,Kaswende au Pangusa).

6. Gharama za Kufata dawa za kumeza kila siku (Endapo umepata HIV/AIDS)

7. Gharama ya kifo.


ENDELEA NA UZINZI/UASHERATI TU LAKINI MWISHO WAKE NI MBAYA!
Uko sahihi sana,
Usisahau kuna gharama za kuanzisha biashara, au kumjengea mzinzi mwenzangu.
 
Uzinzi na uasherati una gharama kubwa mno!

MOJA WAPO YA GHARAMA YA UZINZI/UASHERATI!

1. Gharama ya Vyumba vya kufanyia Uzinzi/Uasherati wenu

2. Gharama za vyakula vya watu wawili (Chako nacha Mzinzi/Muasherati mwenzio)

3. Gharama za vinywaji vya watu wawili ( Vyako navya Mzinzi/Muasherati mwenzio)

4. Gharama za Usafiri ya watu wawili.

5. Gharama za Matibabu (Endapo umepata Kisonono,Kaswende au Pangusa).

6. Gharama za Kufata dawa za kumeza kila siku (Endapo umepata HIV/AIDS)

7. Gharama ya kifo.


ENDELEA NA UZINZI/UASHERATI TU LAKINI MWISHO WAKE NI MBAYA!
Ndio maana maandiko ya Mungu yanasema tuikimbie zinaa,badala yake watu wanaikimbilia zinaa...
 

Attachments

  • DSC_0001~2.JPG
    DSC_0001~2.JPG
    302.3 KB · Views: 2
Back
Top Bottom