Uzinzi utakufanya uwe masikini haijalishi unafanya kazi gani

Uzinzi utakufanya uwe masikini haijalishi unafanya kazi gani

bora nifilisike.
Kuna faida gani ya kuwa na pesa alafu huna mademu?
Shehe mada za uzinzi unapenda sana kuzisapot ukiambiwa yesu ni mwana wa mungu unakunja ndita shetan ni mbaya sana
Jina lako linasadifu na ulichokiandika we khurafi
Huyo ni mwisilam mwenzio ndo mawazo yenu waislam mnawaza uzinzi tu kuokoka hamtaki maana shetani kawatawala
 
Huyo ni mwisilam mwenzio ndo mawazo yenu waislam mnawaza uzinzi tu kuokoka hamtaki maana shetani kawatawala
Ujinga ni hazina yako umekutawala
Kule Roma vitoto vinanajisiwa hpa bongo mpk video za mchungaji zikavuja untka kuongea nn ww? Kua na adabu basi
 
Kuwacha ni rahisi Sana.
Mfanye mkeo apendeze, ale vizuri asiwe na malalamishi.
Hizo pesa unazo wapa Malaya au mchepuko mpe mkeo. Utaona mabadiliko.
Kweli mkuu hapa umenena, unajua watu wanaspend sana nje.

Imagine ile bajeti ya uzinzi ukimpa mkeo kama zawadi tu tofauti na matumizi ya kila siku lazima kuna vitu vitaspark mambo yataenda vizuri

Unajua wanadamu huwa tuna tabia ya kujenga mazoea na kupoteza morali, kwa hiyo amsha amsha ya kila baada ya muda ni muhimu sana.
 
Hivi kuna faida gani eti??
Basi hata faida ipo mkuu, ni kuhangaika tu kwa wanadamu.

Maana sehemu sahihi ipo kabisa ya tendo hilo lakini unakuta mtu akili ishaathirika anaona sehemu panapotoka uchafu ndio pazuri zaidi.

Wanadamu tuna kazi sana
 
Uzinzi unaweza kukufanya utumie elfu 20 uliyoingiza siku hiyo bila kujali kua unarudi nyuma. Na pengine ukakopa kabisa kuongezea bajeti ili jambo liende vizuri. Matokeo yake siku zinaenda we uko pale pale au unarudi nyuma kabisa
 
Basi hata faida ipo mkuu, ni kuhangaika tu kwa wanadamu.

Maana sehemu sahihi ipo kabisa ya tendo hilo lakini unakuta mtu akili ishaathirika anaona sehemu panapotoka uchafu ndio pazuri zaidi.

Wanadamu tuna kazi sana
Yan hata akilini haiingii kbx duuu
 
Uwiiiiiiiiii umeua ..kazia hapohapo...mhimu tuikimbie zinaa..kutoifata inapopatikana kirahisi kama bar,

Uwiiiiiiiiii umeua ..kazia hapohapo...mhimu tuikimbie zinaa..kutoifata inapopatikana kirahisi kama bar, nk
Mungu atusaidie zinaa/uzinzi vizazi vingi vinapotea kwakukosa maarifa na hapa wengi TUNAPOTEZA nyota za mafanikio,,kujitambua,,kujielewa,,kujisimamia na hata kujiamin hasa sis TULIOKOKA mungu atusaidie
 
Back
Top Bottom