Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shehe mada za uzinzi unapenda sana kuzisapot ukiambiwa yesu ni mwana wa mungu unakunja ndita shetan ni mbaya sanabora nifilisike.
Kuna faida gani ya kuwa na pesa alafu huna mademu?
Huyo ni mwisilam mwenzio ndo mawazo yenu waislam mnawaza uzinzi tu kuokoka hamtaki maana shetani kawatawalaJina lako linasadifu na ulichokiandika we khurafi
Hivyo ni vionjo 🙂🙂🙂🙃 hakuna pahala nimesukuma mtu kinyesi.....Njia ya mwongo ni fupi kwa kweli, kwahiyo we nzalendo utakufa maskini, unajifanya ooh mtu ukila ndogo utakufa maskini, kumbe we nzalendo mwenyewe ni mdau wa kula ndogo za wadada nzalendo Mzee wa kupambania mrangi The only mzabzab
View attachment 3101031
Ujinga ni hazina yako umekutawalaHuyo ni mwisilam mwenzio ndo mawazo yenu waislam mnawaza uzinzi tu kuokoka hamtaki maana shetani kawatawala
Mimi NAWATOMB(A) ila ....High spender but high saver maintain this
Tupe mbinu ya kusevu huku unawatyombyaMimi NAWATOMB(A) ila ....
SAVING nafanya
INVESTMENT nafanya.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Kweli mkuu hapa umenena, unajua watu wanaspend sana nje.Kuwacha ni rahisi Sana.
Mfanye mkeo apendeze, ale vizuri asiwe na malalamishi.
Hizo pesa unazo wapa Malaya au mchepuko mpe mkeo. Utaona mabadiliko.
Basi hata faida ipo mkuu, ni kuhangaika tu kwa wanadamu.Hivi kuna faida gani eti??
Yan hata akilini haiingii kbx duuuBasi hata faida ipo mkuu, ni kuhangaika tu kwa wanadamu.
Maana sehemu sahihi ipo kabisa ya tendo hilo lakini unakuta mtu akili ishaathirika anaona sehemu panapotoka uchafu ndio pazuri zaidi.
Wanadamu tuna kazi sana
S utajili wa nini kwenye hiki mkuuuMbona CEO wa WASAFI ni tajiri
Kabisa lo
Uwiiiiiiiiii umeua ..kazia hapohapo...mhimu tuikimbie zinaa..kutoifata inapopatikana kirahisi kama bar,
Mungu atusaidie zinaa/uzinzi vizazi vingi vinapotea kwakukosa maarifa na hapa wengi TUNAPOTEZA nyota za mafanikio,,kujitambua,,kujielewa,,kujisimamia na hata kujiamin hasa sis TULIOKOKA mungu atusaidieUwiiiiiiiiii umeua ..kazia hapohapo...mhimu tuikimbie zinaa..kutoifata inapopatikana kirahisi kama bar, nk