TRIPLE H
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 651
- 349
Wadau,
Naandika kuomba msaada kwenu kwa sababu sasa hali hii kwangu imekuwa too much. Miaka miwili iliyopita nilikuwa na uzito wa kilo 94 sasa umeongezeka hadi kufikia 118 licha ya mazoezi ninayofanya. Kwa sasa nina umri wa miaka 40. Ni ME!
Sina magonjwa yoyote lkn siupendi uzito huu. Madaktari kila ushauri wanaonipa sioni breakthrough ya hali hii. Wana JF Doctor, naomba msaada!
Naandika kuomba msaada kwenu kwa sababu sasa hali hii kwangu imekuwa too much. Miaka miwili iliyopita nilikuwa na uzito wa kilo 94 sasa umeongezeka hadi kufikia 118 licha ya mazoezi ninayofanya. Kwa sasa nina umri wa miaka 40. Ni ME!
Sina magonjwa yoyote lkn siupendi uzito huu. Madaktari kila ushauri wanaonipa sioni breakthrough ya hali hii. Wana JF Doctor, naomba msaada!