Kontelo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 572
- 161
mi ninataka kuongezeka nina urefu sawa na huyo bwana 5'9 ila nina kilo 63 natamani zifike 75 nifanyeje ,kula nakula ,sina stress,
Ht mm nilikuwa na kilo km zako ila kuanzia mwaka jana nimepanda mpk 70 na nikishuka inafikia 67. So nacheza kati ya 67 to 70. Japo natamani nifikie 75 siku moja.
Ukiniuliza uzito umeongezekaje ntakwambia ni kula sio kila chakula ila aina fulani ya vyakula vya nguvu na mchanganyiko wa mboga mboga na matunda. Bila kusahau kupumzisha mwili kwa mda mrefu.
Ni hayo tu.
