mi ninataka kuongezeka nina urefu sawa na huyo bwana 5'9 ila nina kilo 63 natamani zifike 75 nifanyeje ,kula nakula ,sina stress,
Body mass index yako inaonyesha uko severely obese or obese class two.
5.9ft=179.83cms,118 kg, BMI yako ni 36 kaka unaelekea kubaya,badili mfumo wako wa chakula na lishe.
Unajiweka katika hatari kubwa ya kupata heart related complications kama cardiopulmonary arrests nk. Uko extremely overweight ukilinganisha na urefu wako.
Mimi sio daktari ila nakushauri kama unakunywa pombe,kula vitu vya mafuta uache. Kupunguza huo uzito inabidi ukubali kujitesa mkuu.kuongezeka kilo moja ni rahisi ila kuitoa ni mbinde.
Tunaweza kuchat kupitia
+255657830098
Ili nikupe njia nyingine rahisi ya kupunguza uzito bila kufanya mazoezi.. Inawezekana kisayansi. Just text me.
wakuu me pia nina uzito mkubwa urefu 5,6 kilo 82 jee hapo natakiwa nipunguze ngapi?umri wangu 22 years
Kama ni wafuatiliaji wazuri.. PROVE>> kwamba
Unaweza kufanya mazoezi lakini usipungue unene, au ukapungua kwa kiasi kidogo. Hii ni kwa sababu sumu bado ipo mwilini,kwa hiyo ini(liver) linaendelea kuproduce cholesterol kwa wingi ili kuprotect vital organs.. Ni hayo tu ndugu zangu.
Kwa msaada zaidi tuwasiliane kupitia:
+255657830098
Email: shelbytheseeker@outlook.com
Wadau,
Naandika kuomba msaada kwenu kwa sababu sasa hali hii kwangu imekuwa too much. Miaka miwili iliyopita nilikuwa na uzito wa kilo 94 sasa umeongezeka hadi kufikia 118 licha ya mazoezi ninayofanya. Kwa sasa nina umri wa miaka 40. Ni ME!
Sina magonjwa yoyote lkn siupendi uzito huu. Madaktari kila ushauri wanaonipa sioni breakthrough ya hali hii.
Wana JF Doctor, naomba msaada!
Najaribu kila kitu mkuu but all with no avail. Najinyima kwa muda lkn nikija kula njaa inakuwa kali sana. Bia sinywi nakunywa sana maji na nakula matunda na mboga za majani kuliko vyakula vingine. Siongezeki tena lkn pia sipungui!
Mkuu TRIPLE H Kwa umri wako wa miaka 40 ulitakiwa uwe na uzito usiozidi wa kilo 80 sasa wewe una kilo 118 umezidi kilo38 unatakiwa upunguze hizo kilo 38 ili uwe na afya nzuri. Ukitaka Dawa ya kupunguza kilo kwa kila mwezi utapunguwa kilo 4 dawa ninayo ukitaka Dawa bonyeza hapa.DAWA YA KUPUNGUZA UNENE, MAFUTA, KILO NA TUMBOWadau,
Naandika kuomba msaada kwenu kwa sababu sasa hali hii kwangu imekuwa too much. Miaka miwili iliyopita nilikuwa na uzito wa kilo 94 sasa umeongezeka hadi kufikia 118 licha ya mazoezi ninayofanya. Kwa sasa nina umri wa miaka 40. Ni ME!
Sina magonjwa yoyote lkn siupendi uzito huu. Madaktari kila ushauri wanaonipa sioni breakthrough ya hali hii.
Wana JF Doctor, naomba msaada!
Mkuu TRIPLE H Kwa umri wako wa miaka 40 ulitakiwa uwe na uzito usiozidi wa kilo 80 sasa wewe una kilo 118 umezidi kilo38 unatakiwa upunguze hizo kilo 38 ili uwe na afya nzuri. Ukitaka Dawa ya kupunguza kilo kwa kila mwezi utapunguwa kilo 4 dawa ninayo ukitaka Dawa bonyeza hapa.DAWA YA KUPUNGUZA UNENE, MAFUTA, KILO NA TUMBO