Uzito wa Gambo na Lema sio sawa kwenye ulingo. Sio fair kwa Gambo

Uzito wa Gambo na Lema sio sawa kwenye ulingo. Sio fair kwa Gambo

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Kuanzia kwenye hoja na ku connect na wafanyabiashara Lema huwezi kumlinganisha kabisa na Gambo. Uwezo wa kujenga hoja za Arusha na kitaifa ni muhimu sana kwa Arusha.

Sababu kubwa Arusha wanaamini kwa makusudi serikali kwa miaka mingi haikuwa upande wao kuanzia kodi, tanzanite na miradi ya maendeleo. Hata barabara kubwa za Arusha ni za EAC. Majengo ya Arusha ni watu na kampuni binafsi.

Lakini kinachomsaidia Lema zaidi ni wafanyabiashara wadogo wadogo ambao wengi ni wachagga hili hapisemwi lakini ndiyo ukweli Arusha mjini ni mji wa wachagga. Inabidi Gambo atafutiwe sehemu mpya kule uwanja wa ndege kwenye by-pass Highway
 
Umesahau Arusha hawataki ujinga.
 
Kuanzia kwenye hoja na ku connect na wafanyabiashara Lema huwezi kumlinganisha kabisa na Gambo. Uwezo wa kujenga hoja za Arusha na kitaifa ni muhimu sana kwa Arusha. Sababu kubwa Arusha wanaamini kwa makusudi serikali kwa miaka mingi haikuwa upande wao kuanzia kodi, tanzanite na miradi ya maendeleo. Hata barabara kubwa za Arusha ni za EAC. Majengo ya Arusha ni watu na kampuni binafsi. Lakini kinachomsaidia Lema zaidi ni wafanyabiashara wadogo wadogo ambao wengi ni wachagga hili hapisemwi lakini ndiyo ukweli Arusha mjini ni mji wa wachagga. Inabidi Gambo atafutiwe sehemu mpya kule uwanja wa ndege kwenye by-pass Highway
Njia za kijinga alizotumia Mrisho Gambo za ujinga wa awamu ya 5 za kuupata Ubunge wa Arusha Mjini ndio zinazomgharimu , alitumia Unyama wa Magufuli kama mbeleko .

Labda kwa taarifa yako wewe na wengine ni kwamba , wale wote waliopata ubunge kwa sababu ya mbeleko ya jiwe hawatarudi bungeni 2025 , akiwemo Tulia Ackson
 
Gambo arudi tu kijichi ajipange ndani ya chama apewe Jimbo huku kwake.Arusha hawakumchagua hata yeye mwenyewe anajua
 
Back
Top Bottom