Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Njia ni moja unaweza tanguliaMfuateni huko huko aliko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njia ni moja unaweza tanguliaMfuateni huko huko aliko
Tukiwa ndani ya kristo hatuna hofu
Jimbo la Kawe litakuwa wazi mwaka huu wadau mjiandaeUzoefu unaonyesha kuwa watu wote wanaobeza corona, huishia kufa kwa Corona, hivyo huyu mchungu atafuata mkondo ule ule na hatamaliza hata miezi 6 na akibahatika sana, basi ni mwaka mmoja.
Kingine nachokiona kuhusu huu ugonjwa ni kuwa, ukiwa maarufu au mtu mwenye ushawishi katika jamii na unatumia vibaya ushawishi kuhusu corona, basi corona hiyo ndio itakuondoa ili kuokoa wengine na hii inaonekana ni kazi ya POWER OF NATURE.
Kwa maneno mengine,sisi watu tukio na wafuasi hata tukiibeza corona, tunaweza tu kuendelea kuishi kwani hatuna madhara.
Hata hivyo, some exceptions zipo ila huyu Mchungungazi sidhani kama atasalimika.
Time will tell.
Corona sio ya kubeza wazee. Nina siku tatu sasa nina mafua ya kawaida tu ila siskii hafuru wala ladha yoyote. Na hii husababishwa na corona piaUzoefu unaonyesha kuwa watu wote wanaobeza corona, huishia kufa kwa Corona, hivyo huyu mchungu atafuata mkondo ule ule na hatamaliza hata miezi 6 na akibahatika sana, basi ni mwaka mmoja.
Kingine nachokiona kuhusu huu ugonjwa ni kuwa, ukiwa maarufu au mtu mwenye ushawishi katika jamii na unatumia vibaya ushawishi kuhusu corona, basi corona hiyo ndio itakuondoa ili kuokoa wengine na hii inaonekana ni kazi ya POWER OF NATURE.
Kwa maneno mengine,sisi watu tukio na wafuasi hata tukiibeza corona, tunaweza tu kuendelea kuishi kwani hatuna madhara.
Hata hivyo, some exceptions zipo ila huyu Mchungungazi sidhani kama atasalimika.
Time will tell.
Mwacheni aendelee na uchafu wakeUzoefu unaonyesha kuwa watu wote wanaobeza corona, huishia kufa kwa Corona, hivyo huyu mchungu atafuata mkondo ule ule na hatamaliza hata miezi 6 na akibahatika sana, basi ni mwaka mmoja.
Kingine nachokiona kuhusu huu ugonjwa ni kuwa, ukiwa maarufu au mtu mwenye ushawishi katika jamii na unatumia vibaya ushawishi kuhusu corona, basi corona hiyo ndio itakuondoa ili kuokoa wengine na hii inaonekana ni kazi ya POWER OF NATURE.
Kwa maneno mengine,sisi watu tukio na wafuasi hata tukiibeza corona, tunaweza tu kuendelea kuishi kwani hatuna madhara.
Hata hivyo, some exceptions zipo ila huyu Mchungungazi sidhani kama atasalimika.
Time will tell.
Mheshimiwa Mchungaji.Acha uoga mkuu.
Taja jina,ni nani?
SureHata wafuasi wake wote wataangamia
Muabudu shetani sasa linataka kuabudu corona. Pumbavu!Sure
Maza akoMuabudu shetani sasa linataka kuabudu corona. Pumbavu!