Uzoefu wa biashara ya juisi ya miwa; Changamoto na ushauri

Habari wakuu.
Nna mpango wa kuanzisha biashara ya juice ya muwa. ... mwenye experience anisaidie tafadhali (mtaji, mashine etc)... nipo Dar.
Naomba kuwasilisha[emoji120] [emoji120]
Mimi nauza juisi ya miwa za kisasa mpya kabisa 1,150,000/ tu 0715677739
 
habari wana jamii forum ! naombeni ushauri wa mawazo na ushauri wenu mm nina mtaji wa mil 3 nataka kufanya biashara ya juice ya miwa lakini nataka niiweke kwenye fremu je italipa naombeni ushauri wenu !kingine mashine nitazipata wapi ?na pia nahitaji disposable glass ntazipata wapi ?asanten naiman mtanisaidi ndugu zangu
 
Ukiweka kwenye frem unakua umeiongezea Quality.pia machine zipo kuna ndugu yangu ndo biashara yake yupo kariakoo mtaa wa Mafia ntamuuliza halafu ntakupim au ukitaka namba yake nakupa pia
 
asante sana ndugu utakua umenisaidia sana !naukipata namba zake pia ndugu ukipata
 
Mashine waweza pata sido zile zisizotumia nguvu zinauzwa 1.5M lakini pia zipo za kutembeza zenye matairi zinatuma mota ni 2M

Glasi zinapatikana kariakoo

Nasikia biashara ina faida

Nami soon nitakuwa muuzaji ila nitanunua ya kutembeza
 
Mashine waweza pata sido zile zisizotumia nguvu zinauzwa 1.5M lakini pia zipo za kutembeza zenye matairi zinatuma mota ni 2M

Glasi zinapatikana kariakoo

Nasikia biashara ina faida

Nami soon nitakuwa muuzaji ila nitanunua ya kutembeza
sido iko wapi kiongozi
 
Kuna mashine niliona za mchina ni balaa....yaani unaweka kipande cha muwa unakinga juice hata haushiki yale madude yao.
 

Utapata faida tu ikiwa unauhakika wa kuuza sana ila kama mauzo yapo chini ni hasara bin hasara, usione ukadhani.
 
Ikiwa umewahi fanya biashara hii na.. Naomba naom a ushauli.. Namna faida inavyopatikana. Pia kama una mashine huitumii naomba uniuzie.. Nipo PWANI. PM KAMA UNAYO
 
BIASHARA: Machine ya juice ya miwa ya kisasa zaid ..ni kubwa inatumia njia mbili yaan ya umeme (electric motor) na generator pale inapo kuwa hakuna umeme au umeme unapo kuwa umekatika ...inakabat ya kuhifadhia vitu na inachuja juice yenyewe pia ina kibanda kwa ajili ya mvua au jua ... BAI NAFUU SANA MAWASILIANO 0782040470
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…