MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Mmmh fuatilia kaka vizurKuna makampuni Dar huwa wanauzwa viwanja, wanadai ukimaliza kulipia wanakupatia na hati kabisa, sio wapigaji??
Kuna makampuni Dar huwa wanauzwa viwanja, wanadai ukimaliza kulipia wanakupatia na hati kabisa, sio wapigaji??
Kuna makampuni Dar huwa wanauzwa viwanja, wanadai ukimaliza kulipia wanakupatia na hati kabisa, sio wapigaji??
Kuna ambao wapo uhakika na mimi nalipia kidogo kidogo
Mi Niko na Mkumbi Investment, Wana ofisi pale Arusha Street, karibu na Amana hospital.Inaitwaje hiyo company, wana page instagram?