Uzoefu wa matumizi ya gesi kwenye gari

Uzoefu wa matumizi ya gesi kwenye gari

POTIZILLAH

Member
Joined
Apr 30, 2011
Posts
87
Reaction score
158
Wajuzi wa mambo hapa naomba msaada wenu wa uzoefu, ninataka kufunga mfumo wa gesi kwenye TOYOTA - IST.

Naomba kujua nitegemee kupata shida gani kwenye hiyo gari mi nachojua ni kuwa nita-save matumizi ya mafuta, naomba mnipe tahadhari ili nijue kama niendelee na huu mchakato au niachane nao maana hasara ikiwa kubwa kuliko faida ni shida
 
Wajuzi wa mambo hapa naomba msaada wenu wa uzoefu, ninataka kufunga mfumo wa gesi kwenye TOYOTA - IST. Naomba kujua nitegemee kupata shida gani kwenye hiyo gari mi nachojua ni kuwa nita-save matumizi ya mafuta, naomba mnipe tahadhari ili nijue kama niendelee na huu mchakato au niachane nao, Maana hasara ikiwa kubwa kuliko faida ni shida
Hauogopi kulipukiwa
 
Wajuzi wa mambo hapa naomba msaada wenu wa uzoefu, ninataka kufunga mfumo wa gesi kwenye TOYOTA - IST.

Naomba kujua nitegemee kupata shida gani kwenye hiyo gari mi nachojua ni kuwa nita-save matumizi ya mafuta, naomba mnipe tahadhari ili nijue kama niendelee na huu mchakato au niachane nao maana hasara ikiwa kubwa kuliko faida ni shida
Nzuri
 
Wajuzi wa mambo hapa naomba msaada wenu wa uzoefu, ninataka kufunga mfumo wa gesi kwenye TOYOTA - IST.

Naomba kujua nitegemee kupata shida gani kwenye hiyo gari mi nachojua ni kuwa nita-save matumizi ya mafuta, naomba mnipe tahadhari ili nijue kama niendelee na huu mchakato au niachane nao maana hasara ikiwa kubwa kuliko faida ni shida
Mafuta ya 2m kwenye IST unatumia muda gani?
 
mmmh! hizi teknolojia za wabongo sio za kuamini yatakutokea aliyosema bwana Kasomi
Ila angeianzisha msauzi mngekimbiza mapumbu kwenda kufungiwa sababu ni mkaburu! Ndio maana Ontario sir jeff denis aliwasuuza kirahisi sababu ya ulimbukeni wenu wabongo wengi.

Principles za hesabu, physics na chemistry zikifuatwa matokeo ni yale yale hata yangefanywa na mmarekani.
 
Ila angeianzisha msauzi mngekimbiza mapumbu kwenda kufungiwa sababu ni mkaburu! Ndio maana Ontario sir jeff denis aliwasuuza kirahisi sababu ya ulimbukeni wenu wabongo wengi.

Principles za hesabu, physics na chemistry zikifuatwa matokeo ni yale yale hata yangefanywa na mmarekani.
Tatizo wabongo ni wazinguaji sana
 
Back
Top Bottom