Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Petrol [emoji618] vs gas ipi ni more flammable mkuu, naona petrolHiyo kazi roho sana.
Maana ni very flammable than petrol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Petrol [emoji618] vs gas ipi ni more flammable mkuu, naona petrolHiyo kazi roho sana.
Maana ni very flammable than petrol
Point. Mimi mizunguko yangu na Suzuki Vitara kutoka Changanyikeni to Temeke Hospital (return) haizid mafuta ya 70,000 kwa wiki (siku 5 za kazi)Mafuta ya 2m kwenye IST unatumia muda gani?
70,000/- kwa siku?mafuta ya 70,000 kwa siku
Sorry nilimaanisha kwa wiki (siku 5 za kazi -Monday to Friday).70,000/- kwa siku?
Ulivyofanya uchunguzi uliambiwa ukiweka ges inakulaje na petrol inakulaje,isije ikawa tofauti yake ni ndogo sana kwani nasikia hivyo vigari ni vinanusaga balaaWajuzi wa mambo hapa naomba msaada wenu wa uzoefu, ninataka kufunga mfumo wa gesi kwenye TOYOTA - IST.
Naomba kujua nitegemee kupata shida gani kwenye hiyo gari mi nachojua ni kuwa nita-save matumizi ya mafuta, naomba mnipe tahadhari ili nijue kama niendelee na huu mchakato au niachane nao maana hasara ikiwa kubwa kuliko faida ni shida
Gesi inakula kidogo sana, tena sana ila sijajua athari zake kwa vitu vingine kama engine na vitu vingineUlivyofanya uchunguzi uliambiwa ukiweka ges inakulaje na petrol inakulaje,isije ikawa tofauti yake ni ndogo sana kwani nasikia hivyo vigari ni vinanusaga balaa
Wabongo wababaishajiTatizo wabongo ni wazinguaji sana
Ni Kms ngapi kwa safari moja au go and return?Point. Mimi mizunguko yangu na Suzuki Vitara kutoka Changanyikeni to Temeke Hospital (return) haizid mafuta ya 70,000 kwa wiki (siku 5 za kazi)
acha uongoHiyo kazi roho sana.
Maana ni very flammable than petrol
Matumizi ya Gesi kwa modification za Bongo lazima uharibu gariHiyo kazi roho sana.
Maana ni very flammable than petrol
Unafahamu chochote kuhusu ufungwaji wa gesi kwenye magari na taasisi (wataalamu) zinazofunga hiyo mifumo hapa Tz? Hebu fanya ka utafiti kidogo. Hebu pita DIT upate maarifa. Otherwise, pita YouTube uwasikie wataalamu kutoka DIT wakifafanua kuhusu hili.Matumizi ya Gesi kwa modification za Bongo lazima uharibu gari
Takataka
Ujinga mwingiImekusumbua?