B brazaj JF-Expert Member Joined Jul 26, 2016 Posts 31,698 Reaction score 41,733 Oct 10, 2021 #1 Kumtemesha mtu tonge mdomoni au haki za watu anazo hodhi haijawahi kuwa bila mpambano. Maridhiano hayawezi kutokea mitandaoni. Tunayo ya kujifunza kutokea Zanzibar walikofanikiwa kuionja tamu na chungu ya maridhiano: Your browser is not able to display this video. Shikamoo Zanzibar. Ama kweli tuna mengi ya kujifunza kwako. Pumzika kwa amani Maalim Seif Sherif Hamad. Kwa hakika ulikuwa Jembe!
Kumtemesha mtu tonge mdomoni au haki za watu anazo hodhi haijawahi kuwa bila mpambano. Maridhiano hayawezi kutokea mitandaoni. Tunayo ya kujifunza kutokea Zanzibar walikofanikiwa kuionja tamu na chungu ya maridhiano: Your browser is not able to display this video. Shikamoo Zanzibar. Ama kweli tuna mengi ya kujifunza kwako. Pumzika kwa amani Maalim Seif Sherif Hamad. Kwa hakika ulikuwa Jembe!