Uzoefu wa Zanzibar 2020 - Tuna ya Kujifunza, yatasaidia kwa Ukombozi

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kumtemesha mtu tonge mdomoni au haki za watu anazo hodhi haijawahi kuwa bila mpambano.

Maridhiano hayawezi kutokea mitandaoni. Tunayo ya kujifunza kutokea Zanzibar walikofanikiwa kuionja tamu na chungu ya maridhiano:

Your browser is not able to display this video.


Shikamoo Zanzibar. Ama kweli tuna mengi ya kujifunza kwako.

Pumzika kwa amani Maalim Seif Sherif Hamad.

Kwa hakika ulikuwa Jembe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…