Uzoefu wangu kwa wachangia mada JF

Utafiti wako una MAPUNGUFU kidogo, umeshindwa kulitambua KUNDI ambalo ndilo kwa asilimia kubwa hutumia hiki kinachoitwa MITANDAO YA KIJAMII (Social Media)..

Hili ni karibu ya 70% ya watumiaji wote si Tanzania tu bali DUNIANI kote.

Hili ni KUNDI la Raia (wanachama) walio kata tamaa ama kuchoshwa na mtindo/aina ya Maisha (life style) yaliyopo katika Mazingira yanayo wazunguuka.

Hili ni kundi ambalo pengine sehemu kubwa ya Raia wake wamechoshwa kuwa wahanga wa Dhuluma, Chuki na Uonevu wa wazi.

Hili ni KUNDI kubwa la mfano wa wale waliokosa MKOPO..Waliokutwa na VYETI FEKI..BODABODA wanao sumbuliwa barabarani...Wagonjwa wanao kwenda HOSPITALI na kujikuta pesa waliyo nayo MKONONI haitoshi kinunua DAWA.

Hili ni KUNDI la wale walio poteza HAKI zao POLISI na wengine MAHAKAMANI.

Kwa kifupi wengi huingia na kutumia haya MAJUKWAA (forums) kama sehemu ya kufikisha UJUMBE na wengine ni sehemu ya KUPOZA machungu kutegemea ni namna gani ya JANGA alilo kutana nalo kama changamoto katika mizunguuko yake.

Chazo cha hizi SOCIAL media haikuwa sehemu ya TAMU katika jamii..
Bali ni KUPASHANA...KUELIMISHANA haki..KUPINGANA kwa hoja n.k.

Hitimisho langu kwa mleta MADA...usitarajie MISUGUANO kwa mada zisizo hitaji KUPINGWA ama kuwagawa watu (Kiuchumi, Kiimani, Kisiasa).

Jaribu kutengeneza MADA (Thread) katika mfumo wa SIMULIZI na utambulike msimamo wako unaegemea wapi ama nini katika NYUZI zako kwa kufikia hayo natumaini nawe waweza kuwa mfano wa watu kama THE BOLD...NYANI NGABU...MSHANA jr na yule mwenye AVATAR ninayopenda kuitazama kila siku ya BINTI Mahondaw...

N:B Kupingwa ama kukosa like KUKUPE changamoto ya Kukoment kwa HEKIMA ukiwa na research ama proof angalau ya 60%

Anzisha NYUZI itakayo fanya ama kuwezesha baadhi ya GREAT thinkers kuingilia KATI...hiyo itatuvuta na VIDAGAA...[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mawazo yanahitajika...!!
 
Mm nligundua weyback, ndo maana sijawai kuanzisha thread, nausoma mchezo kwanza,

Cha muhimu ujue humu kuna type za watu mbalimbali, hakuna type iliyokosa,

Pia kuna nyuzi OG na fake!

Cha muhimu zaidi huwa na enjoy nyuzi zote,

[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Dagaa [emoji16] [emoji16]
 
well said
 
hivi hao maarufu wakoje kwani hapa maana nashangaa watu wanasema hapa kuna watu maharufu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…