Uzoefu Wangu wa Kunyanduana na Mabinti Walozaliwa Miaka ya 1997-2002

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vijana wa 80s na 90s hapo ndo wamewafaidi mashangazi ila hawa wa 2000 ndo maana wamevurugika ,vya umri wao kichomi wakienda kwa mashangazi nao wana hali kama zao,,,,enzi za JK unapata mshangazi unakula mzigo na wallet inanona hawa wa sasa kikubwa labda akuachie muishi magetoni kwake anakua anakunyonya damu tu,,,......
 
Huo muda angefanya utafiti wa kuku wa kienyeji wakifugwa na bata ingesaidia.

Hiyo hela ya kuwakaza mabint wote hao ungenunua kuku 10 saivi wangekua wamefika 100.

Mchuma janga hula na wakwao.
 
tiGo uhakika?
 
Ewaaaa, tupo pamoja mzee kijana. Ukilipiga kimoja/viwili vya mwendokasi mtakutana kesho, tena usipoangalia ubembeleze maana kachoka.

Hivi vitoto ni tabu tu, vinapenda na havichoki, havikojoi yani ni tafrani tupu.
 
Aina hii ya vijana ni Majanga kwa Taifa
 
Ewaaaa, tupo pamoja mzee kijana. Ukilipiga kimoja/viwili vya mwendokasi mtakutana kesho, tena usipoangalia ubembeleze maana kachoka.

Hivi vitoto ni tabu tu, vinapenda na havichoki, havikojoi yani ni tafrani tupu.
Hahaha.......sisi ni Wazee wa mwaka 47 😜

Saikolojia inaonesha Mwanamke anainjoi zaidi mapenzi akishazaa hasa miaka 33 plus

Ukimpiga kimoja cha dakika 15 harudii tena hadi kesho yake πŸ€—
 
We jamaa umeshakuwa mtaalam sana
 
IMEANDIKWA USIZINI

tusijisifie dhambi maana tunu hiyo itatulaza mautini daima. Basi urudi nyuma katika kujisifu kwako katika kuzini maana Mungu wetu alitupa sheria zake tuziishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…