Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Nisamehe mama abdul, kumbe na wewe umesoma.?.Wamelaaniwa waliokuzaa kunajisi mtandao pendwa unaosomwa mpaka na Rais wa nchi. We bwege ni wa wapi, shame on you
Nimekosa mimi, nimekosa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisamehe mama abdul, kumbe na wewe umesoma.?.Wamelaaniwa waliokuzaa kunajisi mtandao pendwa unaosomwa mpaka na Rais wa nchi. We bwege ni wa wapi, shame on you
Blaza 🤣kwani Diddy na diamond ni akina nan huko daslamEt anamaanisha wewe ni Diamond ulipomtembelea Didy😂
Huku daslam anyefahamika ni Diamond, huyu Didy mpaka sasa hatujamjua bado na ubaya Kijana wetu kagoma kusema walichofanya 😂😂Blaza 🤣kwani Diddy na diamond ni akina nan huko daslam
Bas huyo msomali naskia anagawa Grammy kama njugu ila mchawi masharti anapapasa illium kwa fimbo ya MusaHuku daslam anyefahamika ni Diamond, huyu Didy mpaka sasa hatujamjua bado na ubaya Kijana wetu kagoma kusema walichofanya 😂😂
Umesahau ukiwa nacho kwa relation ship kila mda kinabuni mikakati na visingizio vy kukupuna helaEwaaaa, tupo pamoja mzee kijana. Ukilipiga kimoja/viwili vya mwendokasi mtakutana kesho, tena usipoangalia ubembeleze maana kachoka.
Hivi vitoto ni tabu tu, vinapenda na havichoki, havikojoi yani ni tafrani tupu.
nikajua wa 2005 hao mbona wazee tayari.Shalom,
Ifahamike ya kwamba ukweli ni tunu na kusema ukweli ni ibada kamilifu.
Naomba jamii itambue kuwa umbile la uke wa mwanamke lilivyo halina Cha umri wala nini ili mradi amevuka miaka 19 mwanamke yeyote ni mtu mzima.
Mpaka sasa kwa idadi ya wanawake wazaliwa wa 1997-2004 niliotoka nao kwenye minyanduano nakiri wazi wote wamenitoa knock out kwenye shoo, na wote ni shoo shoo hasa na watundu hadi nashangaa.
Wanawake hawa sijajua makungwi wao ni watu wa aina gani, style zote iwe wakae juu, kuikataa mbigu, dogmahatan, popobawa mkata umeme, mchuzi kisusio. Etc
Nimekoma na hawa viumbe kuikatikia ndio usiseme napiga mayowe hadi majirani wanakoma. Naomba jamii itupe ushirikiano wa kutuonea huruma kila wakati pale tunapokamatika na hawa toto tundu.
Wengine ongezeni sifa zao hawa viumbe first class kwenye minyanduano.
Tukaze kwenye mazoezi na shibe bora kuepusha aibu wakati wa kupeleka moto.
Sijawahi kushinda game dhidi ya hawa viumbe muda wote naonewa mimi.
Ni hayo tu
Wadiz
Mkuu,Nadhani hamuwawezi tu,
Bia, nyama choma, age imeenda
Sijawahi kuona changamoto yeyote
Halafu si watoto wenu kabisa mbona mnawasema, mnakosa heshima
Ndo maana alikuwa anasema haoni wa kumwachia kijiti....Hivi kwa akili hizi,miradi mikubwa ya kimikakati aliyotuachia Dr John Joseph Pombe Magufuli tutaweza kweli kuiendeleza?
Ndo maana alisema vijana wa Aina hii ni mzigo kwa taifaHivi kwa akili hizi,miradi mikubwa ya kimikakati aliyotuachia Dr John Joseph Pombe Magufuli tutaweza kweli kuiendeleza?
😅😅😅Hahaha sawa
Nitazibeba mimi mwenyewe 😄Tukwambie ili ukatutie dhambi
Alafu wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwanangu wewe ni mzembe. Maliza kazi hiyo imeshalegea
Usiishie kumshikisha mapembe mwanetu Mpaji Mungu mpe maziwa akamue.Alafu wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]