Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Acha unafiki wewe! Tabia ya unafiki sio nzuriNimeipenda hii the motive behind.
Yaani mzungu anawaelewa Waislamu na kuwapatia mahali pa kufanya ibada tena ulaya ambako Ukrustu umetamalaki, halafu hapa Tanzania ambapo Waislamu ni wengi zaidi ya Wakristo, mtu anyimwe pa kuswalia?. This is impossible. Tuelezee zaidi Dodoma kumetokea nini?, naamini sio lile tukio la Kondoa, yule mama inambidi apumzishwe tuu.
P
Najua unacoment hivi ili kuwafurahisha wanaokuzunguka
Waislam wengi kuliko wakristu? Hapo ndio umejivua nguo