Uzoefu wangu wa msikiti chuoni Uskochi na Hamza Rijal

Acha unafiki wewe! Tabia ya unafiki sio nzuri
Najua unacoment hivi ili kuwafurahisha wanaokuzunguka
Waislam wengi kuliko wakristu? Hapo ndio umejivua nguo
 
Acha unafiki wewe! Tabia ya unafiki sio nzuri
Najua unacoment hivi ili kuwafurahisha wanaokuzunguka
Waislam wengi kuliko wakristu? Hapo ndio umejivua nguo
Kwa vile Wakristu tunajaa makanisani siku za ibada, hivyo unajua Wakristu ndio wengi Tanzania?. Jee unayajua matokeo ya sensa ya mwisho Tanzania kuweka kipengele cha dini?. Vitu vingine kama hakuwahi kuvijua for certain, don't assume, just keep quiet.
Wewe ni mgeni humu jf, tangu lini mimi Pasco wa JF, na comment ili kumfurahisha mtu?.

Pole.
P
 
Unajua umri wangu? Kwa huu uzee wangu sijawahi kusoma takwimu kuhusu idadi ya waislam kuzidi wakristu
Najua umeufufua huu uzi kwa lengo lako, wacha nikae pembeni nione unakusudia nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…