Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu
Mwanamke ni tabia wala sio wowowo au shep yake
Lakin tusiwe wanafiki sisi wanaume huanza na shep kwanza pamoja na wowowo alaf ndo inakuja tabia
Kwa sababu sisi huanza na sura then tabia badae hivyo sura ya mwanamke inaweza changia kuolewa kwake kwa asilimia kubwa sana lakin tabia yake ndo itayoamua muda ambao atabaki kwenye ndoa
Mwanaume angalia tabia achana na sura, sura zingine ni za kubost
Naomba tuelewane wote kwa pamoja ni kwamba SURA YA MWANAMKE ITACHANGIA KUOLEWA KWAKE LAKIN TABIA YAKE NDO ITAKAYO AMUA MUDA AMBAO ATABAK NA KUDUMU KWENYE NDOA
ni hayo tu ngoja niwape kapicha wadau kakumanisha uzur wa mwanamke
Ni meweka picha maana hakuna chai bila vitafunio na huu uz bila picha usiingeenda kabisa
LONDON BABY
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu
Mwanamke ni tabia wala sio wowowo au shep yake
Lakin tusiwe wanafiki sisi wanaume huanza na shep kwanza pamoja na wowowo alaf ndo inakuja tabia
Kwa sababu sisi huanza na sura then tabia badae hivyo sura ya mwanamke inaweza changia kuolewa kwake kwa asilimia kubwa sana lakin tabia yake ndo itayoamua muda ambao atabaki kwenye ndoa
Mwanaume angalia tabia achana na sura, sura zingine ni za kubost
Naomba tuelewane wote kwa pamoja ni kwamba SURA YA MWANAMKE ITACHANGIA KUOLEWA KWAKE LAKIN TABIA YAKE NDO ITAKAYO AMUA MUDA AMBAO ATABAK NA KUDUMU KWENYE NDOA
ni hayo tu ngoja niwape kapicha wadau kakumanisha uzur wa mwanamke
Ni meweka picha maana hakuna chai bila vitafunio na huu uz bila picha usiingeenda kabisa
LONDON BABY