MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Wasalaam wana JF
Nilikua na intoxicate myself nahisi kama kuna uhusiano kati ya uzuri na hela.
Niko sehemu very poshy iko na watoto wazuri sana nadhani ata mbinguni hakutakua na watu wabaya.
Kwani waislam wanasemaje mabikira 7 si ni pisi kali?
Nilikua na intoxicate myself nahisi kama kuna uhusiano kati ya uzuri na hela.
Niko sehemu very poshy iko na watoto wazuri sana nadhani ata mbinguni hakutakua na watu wabaya.
Kwani waislam wanasemaje mabikira 7 si ni pisi kali?