Martpharm Mart
New Member
- Nov 14, 2015
- 1
- 0
Kwa vipuri sawa kwa wese hapanaHazina tatizo ni gari nzuri ila tu zinagharama kwenye Vipuri na zinabwia wese vibaya mno
Kwa vipuri sawa kwa wese hapana
V6 alafu isibwie wese kuna mfumo gani unaotumika kuzuia ulaji mwingi wa weseKwa vipuri sawa kwa wese hapana
Sasa hapo tunazungumzia ukubwa wa engine ambao sasa haujalishi model ya gariV6 alafu isibwie wese kuna mfumo gani unaotumika kuzuia ulaji mwingi wa wese
V6 alafu isibwie wese kuna mfumo gani unaotumika kuzuia ulaji mwingi wa wese
Hakuna BMW yenye engine ndogo angalia hata 1 series kwa umbo ndogo lakini ina engine kubwaSasa hapo tunazungumzia ukubwa wa engine ambao sasa haujalishi model ya gari
Hiyo V10 umeiona wapi?...sijasema kwamba BMW mbaya German car ndio gari zangu nasemea gharama zake ni kubwaUnajua raha ya kuendesha V6,V8 au V10 blaza?
Kama hujawah huwez elewa
Hapana ndugu angalia 320TdiHakuna BMW yenye engine ndogo angalia hata 1 series kwa umbo ndogo lakini ina engine kubwa
The best car... Suala la spares ni la kawaida sana, zinapatikana mda wote... Its not some cheap car... Nona x5 ya 2007 i love love it all the way... Speed, comfortablity, safety, ulaji wa mafuta kawaida sana... Kiufupi nina commute nalo kama kawaidaJe gari za BMW zina uzuri gani na ubaya gani kitaalam zaidi???Specifically BMW X3
Sasa hii unataka kuniambia ulagi wake wa mafuta ni sawa na Carina?Hapana ndugu angalia 320Tdi
Carina cha mtoto... Speaking from personal experienceSasa hii unataka kuniambia ulagi wake wa mafuta ni sawa na Carina?
BMW ni mojawapo ya gari zinazotumia mafuta vizuri sana.Hazina tatizo ni gari nzuri ila tu zinagharama kwenye Vipuri na zinabwia wese vibaya mno
Siri ya mtengenezaji V6 Benz na V6 BMW, ulaji wa mafuta ni tofauti kabisa, BMW iko vizuri sana kwenye fuel consumptionV6 alafu isibwie wese kuna mfumo gani unaotumika kuzuia ulaji mwingi wa wese