Uzuri wa baadhi ya wadada kwa social media unategemeana na ubora wa kamera ya simu zao

Uzuri wa baadhi ya wadada kwa social media unategemeana na ubora wa kamera ya simu zao

Nathan Jr

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2017
Posts
1,437
Reaction score
1,883
Hilo nimeona halina ubishi, wanaume wengi uingia kingi na kudhani kapata mwananke mrembo ama kupitia Badoo,Facebook ama instagram. Na hiyo ni kwa sababu ya picha lakin akikutana naye kituko
Tumbo kubwa, nyumba flat Android tv screen, viwiko vyeusi, na kadharika nikagundua kwamba
Uzuri wa baadhi ya wa Dada kwa social media inategemeana na ubora wa camera ya simu yake

Je umewahi ingia mkenge juu ya picha ya mtandao?
 
Ninyi pia CV zenu za uongo , kwenye social media kila mmoja amesoma mpaka chuo kikuu tena UDSM siyo Udom au Stemuko vya kata,
Kila mtu Ana gari kali hasa hapa Jf
Kila mmoja ni diaspora,
Kila mwanaume anapiga show ya kibabe hasa kuLe MMU kumbe wengine wana vipande vya vibamia,
 
Ninyi pia CV zenu za uongo , kwenye social media kila mmoja amesoma mpaka chuo kikuu tena UDSM siyo Udom au Stemuko vya kata,
Kila mtu Ana gari kali hasa hapa Jf
Kila mmoja ni diaspora,
Kila mwanaume anapiga show ya kibabe hasa kuLe MMU kumbe wengine wana vipande vya vibamia,
Mbona povu
 
IMG_20181005_074617_854.jpg
IMG_20181005_074617_854.jpg


Nilikutana na huyu manzi kwenye project moja,nusu nikimbie watu wakanishika
 
Ninyi pia CV zenu za uongo , kwenye social media kila mmoja amesoma mpaka chuo kikuu tena UDSM siyo Udom au Stemuko vya kata,
Kila mtu Ana gari kali hasa hapa Jf
Kila mmoja ni diaspora,
Kila mwanaume anapiga show ya kibabe hasa kuLe MMU kumbe wengine wana vipande vya vibamia,
mkuu mbona unanisema mbele ya kadamnasi hivyo
 
Back
Top Bottom