Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bila shaka umeguswaNinyi pia CV zenu za uongo , kwenye social media kila mmoja amesoma mpaka chuo kikuu tena UDSM siyo Udom au Stemuko vya kata,
Kila mtu Ana gari kali hasa hapa Jf
Kila mmoja ni diaspora,
Kila mwanaume anapiga show ya kibabe hasa kuLe MMU kumbe wengine wana vipande vya vibamia,
Punguza kuongea ukwel dadangNinyi pia CV zenu za uongo , kwenye social media kila mmoja amesoma mpaka chuo kikuu tena UDSM siyo Udom au Stemuko vya kata,
Kila mtu Ana gari kali hasa hapa Jf
Kila mmoja ni diaspora,
Kila mwanaume anapiga show ya kibabe hasa kuLe MMU kumbe wengine wana vipande vya vibamia,
Pole kwa yalio kukutaNinyi pia CV zenu za uongo , kwenye social media kila mmoja amesoma mpaka chuo kikuu tena UDSM siyo Udom au Stemuko vya kata,
Kila mtu Ana gari kali hasa hapa Jf
Kila mmoja ni diaspora,
Kila mwanaume anapiga show ya kibabe hasa kuLe MMU kumbe wengine wana vipande vya vibamia,
Hahaha afu unawezs sema ni mama na mtoto wake hizo pichaView attachment 889639View attachment 889639
Nilikutana na huyu manzi kwenye project moja,nusu nikimbie watu wakanishika
Jinsi gani mkuu?mkuu mbona unanisema mbele ya kadamnasi hivyo
ShikamoooNinyi pia CV zenu za uongo , kwenye social media kila mmoja amesoma mpaka chuo kikuu tena UDSM siyo Udom au Stemuko vya kata,
Kila mtu Ana gari kali hasa hapa Jf
Kila mmoja ni diaspora,
Kila mwanaume anapiga show ya kibabe hasa kuLe MMU kumbe wengine wana vipande vya vibamia,
Orange hiyo vipTanzania ndio nchi pekee ambapo wanapatikana wadada wa Orange View attachment 889700
kama ana 100% ya uzito, akitoka kuoga anaacha 30% bafuniTanzania ndio nchi pekee ambapo wanapatikana wadada wa Orange View attachment 889700
Huwaoni hapo walivyo wa OrangeOrange hiyo vip
Hahaaaaaakama ana 100% ya uzito, akitoka kuoga anaacha 30% bafuni
'Aliyeuza cheni kauza cheni bandia na aliyenunua cheni naye kalipa fedha bandia' Ngoma droo.Ninyi pia CV zenu za uongo , kwenye social media kila mmoja amesoma mpaka chuo kikuu tena UDSM siyo Udom au Stemuko vya kata,
Kila mtu Ana gari kali hasa hapa Jf
Kila mmoja ni diaspora,
Kila mwanaume anapiga show ya kibabe hasa kuLe MMU kumbe wengine wana vipande vya vibamia,
mimi ni meJinsi gani mkuu?
HeheheMwingne hata ajiedt vp bd n kituko, Unakutana na midole ya miguu kama Mafungu ya tangawizi, kajaza mihereni kila kona, akianguka utadhan kengere ya uji ya ile shule yetu ya primary enz zile kule ushirombo, usiombee apige chafya ile anajivuta apige "NNNNCHAAAAA!!!!" ukimwangalia usoni utakutana na uso ambao utaamin kweli binadamu tumetoka kwenye evolution, Zinjatropus akasome, Akilala akiamka utakutana na uso kama papai huku umeshuka chin kama pumb zilizopigwa na jua/joto
Haha hahahaHata mademu wa kuopoa club ilinikuta asubuhi ni tofauti na ulivyomuona usiku