Uzuri wa baadhi ya wadada kwa social media unategemeana na ubora wa kamera ya simu zao

Uzuri wa baadhi ya wadada kwa social media unategemeana na ubora wa kamera ya simu zao

Ninyi pia CV zenu za uongo , kwenye social media kila mmoja amesoma mpaka chuo kikuu tena UDSM siyo Udom au Stemuko vya kata,
Kila mtu Ana gari kali hasa hapa Jf
Kila mmoja ni diaspora,
Kila mwanaume anapiga show ya kibabe hasa kuLe MMU kumbe wengine wana vipande vya vibamia,
bila shaka umeguswa
 
Ninyi pia CV zenu za uongo , kwenye social media kila mmoja amesoma mpaka chuo kikuu tena UDSM siyo Udom au Stemuko vya kata,
Kila mtu Ana gari kali hasa hapa Jf
Kila mmoja ni diaspora,
Kila mwanaume anapiga show ya kibabe hasa kuLe MMU kumbe wengine wana vipande vya vibamia,
Punguza kuongea ukwel dadang
 
Ninyi pia CV zenu za uongo , kwenye social media kila mmoja amesoma mpaka chuo kikuu tena UDSM siyo Udom au Stemuko vya kata,
Kila mtu Ana gari kali hasa hapa Jf
Kila mmoja ni diaspora,
Kila mwanaume anapiga show ya kibabe hasa kuLe MMU kumbe wengine wana vipande vya vibamia,
Pole kwa yalio kukuta
 
Ninyi pia CV zenu za uongo , kwenye social media kila mmoja amesoma mpaka chuo kikuu tena UDSM siyo Udom au Stemuko vya kata,
Kila mtu Ana gari kali hasa hapa Jf
Kila mmoja ni diaspora,
Kila mwanaume anapiga show ya kibabe hasa kuLe MMU kumbe wengine wana vipande vya vibamia,
Shikamooo
 
Tanzania ndio nchi pekee ambapo wanapatikana wadada wa Orange
Subpost%207%20-%20Life%20is%20so%20Gucci%20_heart_%EF%B8%8F.jpeg
 
Ninyi pia CV zenu za uongo , kwenye social media kila mmoja amesoma mpaka chuo kikuu tena UDSM siyo Udom au Stemuko vya kata,
Kila mtu Ana gari kali hasa hapa Jf
Kila mmoja ni diaspora,
Kila mwanaume anapiga show ya kibabe hasa kuLe MMU kumbe wengine wana vipande vya vibamia,
'Aliyeuza cheni kauza cheni bandia na aliyenunua cheni naye kalipa fedha bandia' Ngoma droo.

Pata kinywaji mwanakwetu, nakuja kulipa!
 
Mwingne hata ajiedt vp bd n kituko, Unakutana na midole ya miguu kama Mafungu ya tangawizi, kajaza mihereni kila kona, akianguka utadhan kengere ya uji ya ile shule yetu ya primary enz zile kule ushirombo, usiombee apige chafya ile anajivuta apige "NNNNCHAAAAA!!!!" ukimwangalia usoni utakutana na uso ambao utaamin kweli binadamu tumetoka kwenye evolution, Zinjatropus akasome, Akilala akiamka utakutana na uso kama papai huku umeshuka chin kama pumb zilizopigwa na jua/joto
 
Mwingne hata ajiedt vp bd n kituko, Unakutana na midole ya miguu kama Mafungu ya tangawizi, kajaza mihereni kila kona, akianguka utadhan kengere ya uji ya ile shule yetu ya primary enz zile kule ushirombo, usiombee apige chafya ile anajivuta apige "NNNNCHAAAAA!!!!" ukimwangalia usoni utakutana na uso ambao utaamin kweli binadamu tumetoka kwenye evolution, Zinjatropus akasome, Akilala akiamka utakutana na uso kama papai huku umeshuka chin kama pumb zilizopigwa na jua/joto
Hehehe
 
'Aliyeuza cheni kauza cheni bandia na aliyenunua cheni naye kalipa fedha bandia' Ngoma droo.

Pata kinywaji mwanakwetu, nakuja kulipa!
Ukilemaa..umeachwa.ferii
 
Back
Top Bottom