Uchaguzi 2020 Uzuri wa CCM huwa hawana papara

Uchaguzi 2020 Uzuri wa CCM huwa hawana papara

jitombashisho

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2020
Posts
667
Reaction score
2,245
CCM bwana kama hawapo hivi iwe humu kwenye mitandao ya kijamii ajabu ni wazuri mno kwenye mipira iliyokufa.

Jamaa hutembea hatua 100 mbele ya wenzao na kamwe huwa si wajuzi wa kubishana bali hunena kwa vitendo zaidi.

Ulingo wote wa mitandao karibia umeshikwa na wapiga story wa Lissu na huku wakisahaulishwa na wenyewe kuita mafuriko ya Watanzania kwenye mikutano ya kampeni ya mpendwa wao huku wakisahau field kukoje, hahaha!

Ukweli ni kwamba wana CCM wengi hawawezi kubisha kwa kutokwa na mishipa.

Wana CCM hawanaga ubavu wa kupoteza muda kuvimbiana humu mitandaoni na wapinzani wao.

Wana CCM wengi huwa na aibu ya maneno makali ya wapinzani wao.

Wana CCM wengi ni wenye Ajira na kwalo huwafanya wawe busy na shughuli zao na hupuuza mabishano yasiyo na tija.

Ajabu ya CCM pamoja na yote hayo mwisho wa mbio huwa wa kwanza!

Povu ruksa!
 
Usijifariji MITANDAO ina akisi uhalisia lkn usisahau pia toka UHURU hakuna miaka maccm wameharibu Kama hii mitano iliyopita hakuna narejea tena hakuna Mtanzania aliesalimika na mchungu ya utawala ulionesha UDHALIMU bila aibu Wala kificho

HELSB imekuwa mwiba kwa Wanavyuo
TRA Imekuwa mwiba kwa wafanya biashara
WASIOJULIKANA imeteka watu utafkir tupo Syria
TANROAD imevunja majumba bila fidia Tena ikiwepo ZUIO LA MAHAKAMA
Mwanza walipotaka kubomolewa mkasema NO hao ni wapiga kura wenu
KOROSHO mlipoiuwa mkawatisha kwamba mtaanza na SHANGAZ ZAO
KAGERA mkala rambirambi zao na kejeli juu
CHATO mkaenda kujenga INTERNATIONAL AIR PORT

MNA MADUDU MINGI WATANZANIA SI WAJINGA VILE MMEZANIA
#NI YEYE
 
CCM ni Chama kilichojijenga na Ina misingi Imara kuanzia kwenye Kata na Mashina, Ushindi unatafutwa kila sehemu sio Mijini kama CDM.

Et wao wanaishia kwenye Makao makuu ya Mikoa tu alafu wategemee was hindu uchaguzi na kuacha wapiga kura wengi Vijijini.

Kila siku wao ni Kushinda Twitter kutukana wanadhani kura zinapatikana Twitter?

Kuchukua dola watasikia kwenye Bomba mwaka huu.
 
CCM ni Chama kilichojijenga na Ina misingi Imara kuanzia kwenye Kata na Mashina, Ushindi unatafutwa kila sehemu sio Mijini kama CDM. Et wao wanaishia kwenye Makao makuu ya Mikoa tu alafu wategemee was hindu uchaguzi na kuacha wapiga kura wengi Vijijini.

Kila siku wao ni Kushinda Twitter kutukana wanadhani kura zinapatikana Twitter?

Kuchukua dola watasikia kwenye Bomba mwaka huu.
Umefuatilia press conference ya TL usingesema ulichosema wamejijenga mashinani Zaid ndio maana hamuwapi air time magazeti mmeyatisha lkn ilo nyomi ni lakufa mtu wacha kukariri
 
Sema CCM pumzi imekata mapema.
Mkakati wa kutumia wasanii 200 umefeli vibaya.

Mkakati wa kutumia ilani yenu umefeli.
Mkakati wa kumjibu Lissu nao umefikia tamati.

Sasa namna mmezindua mkakati mpya wa kutukana wapinzani. Pole Pole ndio amesema mnaokwenda nao kwa sasa.
 
CCM bwana kama hawapo hivi iwe humu kwenye mitandao ya kijamii ajabu ni wazuri mno kwenye mipira iliyokufa.

Jamaa hutembea hatua 100 mbele ya wenzao na kamwe huwa si wajuzi wa kubishana bali hunena kwa vitendo zaidi.

Ulingo wote wa mitandao karibia umeshikwa na wapiga story wa Lisu na huku wakisahaulishwa na wenyewe kuita mafuriko ya Watanzania kwenye mikutano ya kampeni ya mpendwa wao huku wakisahau field kukoje,hahaha!

Ukweli ni kwamba wana CCM wengi hawawezi kubisha kwa kutokwa na mishipa...

Wana CCM hawanaga ubavu wa kupoteza muda kuvimbiana humu mitandaoni na wapinzani wao...

Wana CCM wengi huwa na aibu ya maneno makali ya wapinzani wao...

Wana CCM wengi ni wenye Ajira na kwalo huwafanya wawe busy na shughuli zao na hupuuza mabishano yasiyo na tija...


Ajabu ya CCM pamoja na yote hayo mwisho wa mbio huwa wa kwanza!

Povu ruksa!
CCM wako kwenye hatua ya mwisho ya kufa. Lissu ndo kaja kuwamaliza kabisa!! Uzuri ndani yenu sasaivi hakukaliki, wengi hawamtaki magufuli na ubabe wake. Wameapa vyovyote vile lazima atoke chama kijipange upya
 
Magufuli anapanga mkakati wa goli la mkono huko Dodoma ambako anakutana na ma-DED hivi sasa wakati wa kampeni. Leo alitakiwa awe Iringa kwenye kampeni lakini amekacha.
 
Magufuli anapanga mkakati wa goli la mkono huko Dodoma ambako anakutana na ma-DED hivi sasa wakati wa kampeni. Leo alitakiwa awe Iringa kwenye kampeni lakini amekacha.
Yeye anapanga sie tunavuruga. Atajua hajui mwaka huu
 
CCM bwana kama hawapo hivi iwe humu kwenye mitandao ya kijamii ajabu ni wazuri mno kwenye mipira iliyokufa.

Jamaa hutembea hatua 100 mbele ya wenzao na kamwe huwa si wajuzi wa kubishana bali hunena kwa vitendo zaidi.

Ulingo wote wa mitandao karibia umeshikwa na wapiga story wa Lissu na huku wakisahaulishwa na wenyewe kuita mafuriko ya Watanzania kwenye mikutano ya kampeni ya mpendwa wao huku wakisahau field kukoje, hahaha!

Ukweli ni kwamba wana CCM wengi hawawezi kubisha kwa kutokwa na mishipa.

Wana CCM hawanaga ubavu wa kupoteza muda kuvimbiana humu mitandaoni na wapinzani wao.

Wana CCM wengi huwa na aibu ya maneno makali ya wapinzani wao.

Wana CCM wengi ni wenye Ajira na kwalo huwafanya wawe busy na shughuli zao na hupuuza mabishano yasiyo na tija.

Ajabu ya CCM pamoja na yote hayo mwisho wa mbio huwa wa kwanza!

Povu ruksa!
Miaka 60 Bado wanyonge wanakunywa Maji na ng'ombe, ccm Wana faida gani?
 
Naam, Tume ya uchaguzi kwa hakika ni yenu. Ndio maana hamna wasiwasi (angalau kwa nje). Lakini mwaka huu ni mpambano kati ya Tume na wananchi.
CCM bwana kama hawapo hivi iwe humu kwenye mitandao ya kijamii ajabu ni wazuri mno kwenye mipira iliyokufa.

Jamaa hutembea hatua 100 mbele ya wenzao na kamwe huwa si wajuzi wa kubishana bali hunena kwa vitendo zaidi.

Ulingo wote wa mitandao karibia umeshikwa na wapiga story wa Lissu na huku wakisahaulishwa na wenyewe kuita mafuriko ya Watanzania kwenye mikutano ya kampeni ya mpendwa wao huku wakisahau field kukoje, hahaha!

Ukweli ni kwamba wana CCM wengi hawawezi kubisha kwa kutokwa na mishipa.

Wana CCM hawanaga ubavu wa kupoteza muda kuvimbiana humu mitandaoni na wapinzani wao.

Wana CCM wengi huwa na aibu ya maneno makali ya wapinzani wao.

Wana CCM wengi ni wenye Ajira na kwalo huwafanya wawe busy na shughuli zao na hupuuza mabishano yasiyo na tija.

Ajabu ya CCM pamoja na yote hayo mwisho wa mbio huwa wa kwanza!

Povu ruksa!
 
CCM bwana kama hawapo hivi iwe humu kwenye mitandao ya kijamii ajabu ni wazuri mno kwenye mipira iliyokufa.

Jamaa hutembea hatua 100 mbele ya wenzao na kamwe huwa si wajuzi wa kubishana bali hunena kwa vitendo zaidi.

Ulingo wote wa mitandao karibia umeshikwa na wapiga story wa Lissu na huku wakisahaulishwa na wenyewe kuita mafuriko ya Watanzania kwenye mikutano ya kampeni ya mpendwa wao huku wakisahau field kukoje, hahaha!

Ukweli ni kwamba wana CCM wengi hawawezi kubisha kwa kutokwa na mishipa.

Wana CCM hawanaga ubavu wa kupoteza muda kuvimbiana humu mitandaoni na wapinzani wao.

Wana CCM wengi huwa na aibu ya maneno makali ya wapinzani wao.

Wana CCM wengi ni wenye Ajira na kwalo huwafanya wawe busy na shughuli zao na hupuuza mabishano yasiyo na tija.

Ajabu ya CCM pamoja na yote hayo mwisho wa mbio huwa wa kwanza!

Povu ruksa!

Hakuna ccm yeyeto mwenye uwezo wa kujibu hoja yeyeto ndio maana wamepotea kukwepa aibu.Si musiba Wala nape wote chali
 
Magufuli anapanga mkakati wa goli la mkono huko Dodoma ambako anakutana na ma-DED hivi sasa wakati wa kampeni. Leo alitakiwa awe Iringa kwenye kampeni lakini amekacha.
Haisaidii kitu,amepimwa hatoshi akajiajiri October atutaki mateso tena sie sio zombi
 
CCM ni Chama kilichojijenga na Ina misingi Imara kuanzia kwenye Kata na Mashina, Ushindi unatafutwa kila sehemu sio Mijini kama CDM.

Et wao wanaishia kwenye Makao makuu ya Mikoa tu alafu wategemee was hindu uchaguzi na kuacha wapiga kura wengi Vijijini.

Kila siku wao ni Kushinda Twitter kutukana wanadhani kura zinapatikana Twitter?

Kuchukua dola watasikia kwenye Bomba mwaka huu.
Ndio ilani yenu hii ninyi maccm?
Jerry slaa akinadi ilani ya chama Cha mafisi!
Screenshot_20200926-193701.jpg
 
Usijifariji MITANDAO ina akisi uhalisia lkn usisahau pia toka UHURU hakuna miaka maccm wameharibu Kama hii mitano iliyopita hakuna narejea tena hakuna Mtanzania aliesalimika na mchungu ya utawala ulionesha UDHALIMU bila aibu Wala kificho

HELSB imekuwa mwiba kwa Wanavyuo
TRA Imekuwa mwiba kwa wafanya biashara
WASIOJULIKANA imeteka watu utafkir tupo Syria
TANROAD imevunja majumba bila fidia Tena ikiwepo ZUIO LA MAHAKAMA
Mwanza walipotaka kubomolewa mkasema NO hao ni wapiga kura wenu
KOROSHO mlipoiuwa mkawatisha kwamba mtaanza na SHANGAZ ZAO
KAGERA mkala rambirambi zao na kejeli juu
CHATO mkaenda kujenga INTERNATIONAL AIR PORT

MNA MADUDU MINGI WATANZANIA SI WAJINGA VILE MMEZANIA
#NI YEYE


hata vita za mtandao hamuwezi bro,
1601138793957.png


nadhan heshima inaeleweka,
pole pole amesema 23rd ndo zile voice note za tundu lissu na mabeberu znatoka, kwahio mtambe mara ya mwisho mwisho
 
26 September 2020
Bunda, Musoma Mara
Tanzania

Mvua Kubwa Haikuwazuiwa Wana Bunda Kujitokeza Kumsubiri na Kumpokea Tundu Lissu


Wananchi Wakubali Kulowa Kutokana na Mvua Kubwa Ili Wampokee na Kumsikiliza Tundu Lissu.

Hakika Tundu Lissu amewafanya waTanzania wacheze kwa kujiachia ktk mvua wakitegemea kwa kura nyingi kurudisha fahari yao ya furaha, Uhuru , Haki na Maendeleo ya Watu.

WanaCCM Mpya wamezoea utumwa wa kuburuzwa na kujidai ni wapole hawana papara lakini wanashindwa kujielewa ni mateka wa kisiasa waliofanyiwa ukatili mwingi kupitia maamuzi mabaya ya utawala wa CCM katika miaka 5 ya utawala wa CCM Mpya na hivyo kukubali "unyonge" kwa kuwa wapole na wasio na papara kusubiri hatima yao iliyo katika mikono ya nunda (bully) .
 
CCM bwana kama hawapo hivi iwe humu kwenye mitandao ya kijamii ajabu ni wazuri mno kwenye mipira iliyokufa.

Jamaa hutembea hatua 100 mbele ya wenzao na kamwe huwa si wajuzi wa kubishana bali hunena kwa vitendo zaidi.

Ulingo wote wa mitandao karibia umeshikwa na wapiga story wa Lissu na huku wakisahaulishwa na wenyewe kuita mafuriko ya Watanzania kwenye mikutano ya kampeni ya mpendwa wao huku wakisahau field kukoje, hahaha!

Ukweli ni kwamba wana CCM wengi hawawezi kubisha kwa kutokwa na mishipa.

Wana CCM hawanaga ubavu wa kupoteza muda kuvimbiana humu mitandaoni na wapinzani wao.

Wana CCM wengi huwa na aibu ya maneno makali ya wapinzani wao.

Wana CCM wengi ni wenye Ajira na kwalo huwafanya wawe busy na shughuli zao na hupuuza mabishano yasiyo na tija.

Ajabu ya CCM pamoja na yote hayo mwisho wa mbio huwa wa kwanza!

Povu ruksa!

Mgombea wenu Alitakiwa iringa Leo imekuwaje Tena mbona ajatokea?
 
CCM bwana kama hawapo hivi iwe humu kwenye mitandao ya kijamii ajabu ni wazuri mno kwenye mipira iliyokufa.

Jamaa hutembea hatua 100 mbele ya wenzao na kamwe huwa si wajuzi wa kubishana bali hunena kwa vitendo zaidi.

Ulingo wote wa mitandao karibia umeshikwa na wapiga story wa Lissu na huku wakisahaulishwa na wenyewe kuita mafuriko ya Watanzania kwenye mikutano ya kampeni ya mpendwa wao huku wakisahau field kukoje, hahaha!

Ukweli ni kwamba wana CCM wengi hawawezi kubisha kwa kutokwa na mishipa.

Wana CCM hawanaga ubavu wa kupoteza muda kuvimbiana humu mitandaoni na wapinzani wao.

Wana CCM wengi huwa na aibu ya maneno makali ya wapinzani wao.

Wana CCM wengi ni wenye Ajira na kwalo huwafanya wawe busy na shughuli zao na hupuuza mabishano yasiyo na tija.

Ajabu ya CCM pamoja na yote hayo mwisho wa mbio huwa wa kwanza!

Povu ruksa!
Hata Bia yetu alikujaga na upumbavu kama huu ila kafulia vbaya
 
Back
Top Bottom