Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Sina haja ya kulijibia hilo kwa maana kijani ni mafia wa ukuda kuliko...Na hao wa ccm wanaomponda itakuwaje hiyo 2025!
Rejea Edward Lowasa.Magufuli hatakiwi na CHADEMA Wala CCM
Magufuli ndio katuletea hili bunge la mchongo ambalo linakula kodi za bure
Tanzania Mungu Bado anatupenda saana
Ukishajua UHAI unathamani kuliko kitu chochote ndio utajua kwa nini Magufuli watu hawakumpenda Ila Kama kwako Madaraja ni Bora kuliko UHAI basi endelea kumkumbuka MagufuliRejea Edward Lowasa.
Join The ChainLeo wanajifanya kumponda sana Magufuli huku wakitambua wazi huko kwa wananchi wa kawaida jina Magufuli ni turufu mno kisiasa.
Sasa basi,ifikapo 2024 kila rangi ya Chadema na watu wake watahamia kumsifia Magufuli kwa kigezo kilekile cha kujishindia kura huku wakimsifu kwa mema yake na watadai wamemsamehe kwa sababu ya makosa ya kibinadamu.
2024 Magufuli kwa chadema ATAKUWA NI SHETANI MWENYE MAZURI YAKE PIA.
Muda utasema.
Leo wanajifanya kumponda sana Magufuli huku wakitambua wazi huko kwa wananchi wa kawaida jina Magufuli ni turufu mno kisiasa.
Sasa basi,ifikapo 2024 kila rangi ya Chadema na watu wake watahamia kumsifia Magufuli kwa kigezo kilekile cha kujishindia kura huku wakimsifu kwa mema yake na watadai wamemsamehe kwa sababu ya makosa ya kibinadamu.
2024 Magufuli kwa chadema ATAKUWA NI SHETANI MWENYE MAZURI YAKE PIA.
Muda utasema.
Mpeni tahadhari Chairman mikono hiyo si yote inaweza ikawa na usalama kwake.
Kwa mujibu wa Lema Lowasa alikuwa mwizi,fisadi na muuaji wa maskini wa Tanzania kipindi kile sasa wewe mshika moja endelea kushikilia hilohilo wenziyo ni washika mawili wakiamini moja huponyoka.Yeye alikazania kuwa ameamua kujitoa sadaka Ila sijajua alijisacrifice kivip? Au kwa kututeka wakosoaji wake au kwa kuvuruga uchaguzi ?
Tangu lini ulikuwa na huruma na Mbowe wewe ?Mpeni tahadhari Chairman mikono hiyo si yote inaweza ikawa na usalama kwake.
Shtukeni!
Nijiongeze kuwa Lissu alijishambulia mwenyewe au?Kwa mujibu wa Lema Lowasa alikuwa mwizi,fisadi na muuaji wa maskini wa Tanzania kipindi kile sasa wewe mshika moja endelea kushikilia hilohilo wenziyo ni washika mawili wakiamini moja huponyoka.
Jiongeze!
Namfahamu Mzee Mbowe kabla ya wewe na kwetu huja hadi wa leo tunakula naye meza moja huku akitukumbusha namna marehemu mzee wetu alivyo na mchango uliotukuka ndani ya Chadema.Tangu lini ulikuwa na huruma na Mbowe wewe ?
Sikujua nabishana na kijana-nisamehe bure.Nijiongeze kuwa Lissu alijishambulia mwenyewe au?
Leo wanajifanya kumponda sana Magufuli huku wakitambua wazi huko kwa wananchi wa kawaida jina Magufuli ni turufu mno kisiasa.
Sasa basi,ifikapo 2024 kila rangi ya Chadema na watu wake watahamia kumsifia Magufuli kwa kigezo kilekile cha kujishindia kura huku wakimsifu kwa mema yake na watadai wamemsamehe kwa sababu ya makosa ya kibinadamu.
2024 Magufuli kwa chadema ATAKUWA NI SHETANI MWENYE MAZURI YAKE PIA.
Muda utasema.