Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Mwanamke unaongea sana wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo wanajifanya kumponda sana Magufuli huku wakitambua wazi huko kwa wananchi wa kawaida jina Magufuli ni turufu mno kisiasa.
Sasa basi,ifikapo 2024 kila rangi ya Chadema na watu wake watahamia kumsifia Magufuli kwa kigezo kilekile cha kujishindia kura huku wakimsifu kwa mema yake na watadai wamemsamehe kwa sababu ya makosa ya kibinadamu.
2024 Magufuli kwa chadema ATAKUWA NI SHETANI MWENYE MAZURI YAKE PIA.
Muda utasema.
Nikome!Mwanamke unaongea sana wewe.
Kitulize.Nikome!
Leo wanajifanya kumponda sana Magufuli huku wakitambua wazi huko kwa wananchi wa kawaida jina Magufuli ni turufu mno kisiasa.
Sasa basi,ifikapo 2024 kila rangi ya Chadema na watu wake watahamia kumsifia Magufuli kwa kigezo kilekile cha kujishindia kura huku wakimsifu kwa mema yake na watadai wamemsamehe kwa sababu ya makosa ya kibinadamu.
2024 Magufuli kwa chadema ATAKUWA NI SHETANI MWENYE MAZURI YAKE PIA.
Muda utasema.
Leo wanajifanya kumponda sana Magufuli huku wakitambua wazi huko kwa wananchi wa kawaida jina Magufuli ni turufu mno kisiasa.
Sasa basi,ifikapo 2024 kila rangi ya Chadema na watu wake watahamia kumsifia Magufuli kwa kigezo kilekile cha kujishindia kura huku wakimsifu kwa mema yake na watadai wamemsamehe kwa sababu ya makosa ya kibinadamu.
2024 Magufuli kwa chadema ATAKUWA NI SHETANI MWENYE MAZURI YAKE PIA.
Muda utasema.
Kweli muda utasema Suzy Elias. Hongera kwa kuwakumbusha hapa
Namimi nakazia
View attachment 2181802
Endelea kulala salama Mwamba
Yeye alikazania kuwa ameamua kujitoa sadaka Ila sijajua alijisacrifice kivip? Au kwa kututeka wakosoaji wake au kwa kuvuruga uchaguzi ?
Kwa mujibu wa Lema Lowasa alikuwa mwizi,fisadi na muuaji wa maskini wa Tanzania kipindi kile sasa wewe mshika moja endelea kushikilia hilohilo wenziyo ni washika mawili wakiamini moja huponyoka.
Jiongeze!
MtatagaKweli muda utasema Suzy Elias. Hongera kwa kuwakumbusha hapa
Namimi nakazia
View attachment 2181802
Endelea kulala salama Mwamba
Namfahamu Mzee Mbowe kabla ya wewe na kwetu huja hadi wa leo tunakula naye meza moja huku akitukumbusha namna marehemu mzee wetu alivyo na mchango uliotukuka ndani ya Chadema.
Kwa muktadha huo huenda mimi ni Chadema kuliko wewe,labda.
Karibu kwetu Ibadakuli,Shinyanga mahali ambapo Chairp Mbowe anapafahamu-jiongeze.
Unazungumzia hili genge la mwenyekigoda wa mileleLeo wanajifanya kumponda sana Magufuli huku wakitambua wazi huko kwa wananchi wa kawaida jina Magufuli ni turufu mno kisiasa.
Sasa basi,ifikapo 2024 kila rangi ya Chadema na watu wake watahamia kumsifia Magufuli kwa kigezo kilekile cha kujishindia kura huku wakimsifu kwa mema yake na watadai wamemsamehe kwa sababu ya makosa ya kibinadamu.
2024 Magufuli kwa chadema ATAKUWA NI SHETANI MWENYE MAZURI YAKE PIA.
Muda utasema.
Ni lini tutamwacha mzee Magufuli RIP badala ya kumuongelea ongelea kila siku
chadema sio wanafiki tu ni mafirauni wakubwa
Kwi Kwi Kwi , hata Dr Slaa naye anaongea kama weweNamfahamu Mzee Mbowe kabla ya wewe na kwetu huja hadi wa leo tunakula naye meza moja huku akitukumbusha namna marehemu mzee wetu alivyo na mchango uliotukuka ndani ya Chadema.
Kwa muktadha huo huenda mimi ni Chadema kuliko wewe,labda.
Karibu kwetu Ibadakuli,Shinyanga mahali ambapo Chairp Mbowe anapafahamu-jiongeze.