Uzuri wa Chadema ni wanafiki!


Wewe unaongelea ya 2024 kwa ukakamavu hivi au wewe ni Kerubi?
 

Wanachi gani hao?. Mbona Wanachi waliiunga mkono chadema hata kipindi Magufuli akiwepo madarakani?. Ndio maana akaamua kuiba Kura na uchaguzi mwaka 2020
 

Mbona mama Samia anamponda Sana na kumwita Simba anayengata. Na aliyemtukana Magufuli yani kinana ndio Makamu Mwenyekiti wa chama.
 
Yeye alikazania kuwa ameamua kujitoa sadaka Ila sijajua alijisacrifice kivip? Au kwa kututeka wakosoaji wake au kwa kuvuruga uchaguzi ?

Yani alikuwa amewafanya watanzania misukule. Yani kuona daraja na majengo Ni muhimu kuliko uhai.
 
Kwa mujibu wa Lema Lowasa alikuwa mwizi,fisadi na muuaji wa maskini wa Tanzania kipindi kile sasa wewe mshika moja endelea kushikilia hilohilo wenziyo ni washika mawili wakiamini moja huponyoka.

Jiongeze!

Yule muuajo Nani amuunge mkono. Bora lowassa ilikuwa tuhuma.
 

Stori za kutunga
 
Unazungumzia hili genge la mwenyekigoda wa milele

 
chadema sio wanafiki tu ni mafirauni wakubwa

Mafirauni Ni wale waliopiga watu Risasi na wengine kuwapoteza kabisa. Halafu mafirauni Ni Yale ambayo pamoja na ugumu wa maisha ya watanzania yameamua kuongeza tozo na kukopa zaidi.
 
Magufuli alikuwa kiongozi mbovu na muovu kweli, na populist

Ila Chadema nao ni malaya wa kisiasa, wanaweza kumtumia kujipatia kira, hili mwenyewe nishalitabiri
 
Kwi Kwi Kwi , hata Dr Slaa naye anaongea kama wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…