Bhakusyobhile
Member
- Aug 1, 2018
- 65
- 198
Mtu unapata wapi ujasiri wa kuvaa haya maviatu?
Yaani unamkuta mtu amevaa halafu yuko comfortable kabisa 😳😳
Yaani unamkuta mtu amevaa halafu yuko comfortable kabisa 😳😳
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waangola ndio pigo zao hizo.Mtu unapata wapi ujasiri wa kuvaa haya maviatu?Yani unamkuta mtu amevaa halafu yuko comfortable kabisa 😳😳View attachment 3021017
Nawaonaga vijana,nabaki mdomo wazi tuMtu unapata wapi ujasiri wa kuvaa haya maviatu?Yani unamkuta mtu amevaa halafu yuko comfortable kabisa 😳😳View attachment 3021017
Madogo zetu wanashida sana..Mtu unapata wapi ujasiri wa kuvaa haya maviatu?Yani unamkuta mtu amevaa halafu yuko comfortable kabisa 😳😳View attachment 3021017
Dalili mojawapo ya uzee ni hii. Fashion za madogo kuziona hazina uzuri wowoteMtu unapata wapi ujasiri wa kuvaa haya maviatu?Yani unamkuta mtu amevaa halafu yuko comfortable kabisa 😳😳View attachment 3021017
😀😀Kobazi limekua na kubalehe
Yani ni zaidi ya shidaMadogo zetu wanashida sana..
😃😃😁😁Nawaonaga vijana,nabaki mdomo wazi tu
Mambo ya Raizoni enzi hizo naona yanarudi taratibu kwa mtindo wa yeboyebo!Mtu unapata wapi ujasiri wa kuvaa haya maviatu?
Yaani unamkuta mtu amevaa halafu yuko comfortable kabisa 😳😳
View attachment 3021017
Kama yale ya jux na mariooHii inafaa uvalie suruali ya jeje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unatokaaa kinoumaaaa!!!!