Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaahaaKobazi limekua na kubalehe
😀😀😀 sijawahi kumiliki buti kama hilo😀Wanavalia na majinsi makubwa sana.. pigo za financial services
Hapana Mimi sio ndugu yake😀 😀 wewe ni ndugu yake bhansakile?
hahahaaaa😄😄Ukilikuta tandika linauzwa huta amin iyo bei 😂
Kwel kaz na umr m siwez hata kuliweka bafun liwe la kuogea
Kweli huo ni unyama mwingi😂😂😂Ukisema sana watakuita wakuja, Wao huo wanaita unyama.
😁😁😂😂Wanaita majina yaki bepari crocks
😃😀Mimi binafsi nimeshatulia maana hilo BUTI du,,kwa kweli nimelishindwa kwanzia rohoni Hadi machoniWazee tulieni, nyie mlivaa raizoni na VIP na mlikua poa tu.
Tumekubali mkuu maana vitu vyenu vya siku hizi vingine ni kama vinazomea mtazamaji hahaha vijana mna tabu sanaWazee tulieni, nyie mlivaa raizoni na VIP na mlikua poa tu.
Aina gani ya kiatu hii? Ni sangoma? Or raizoni toleo la 20'sMtu unapata wapi ujasiri wa kuvaa haya maviatu?
Yaani unamkuta mtu amevaa halafu yuko comfortable kabisa 😳😳
View attachment 3021017
Kujihangaisha na fasheni za mavazi ni sawa na kutaka kupambana na mafuriko ya Msimbazi kwa viganja vitupu vya mikono yako.Mtu unapata wapi ujasiri wa kuvaa haya maviatu?
Yaani unamkuta mtu amevaa halafu yuko comfortable kabisa 😳😳
View attachment 3021017
Daah nmecheka sanaKobazi limekua na kubalehe
Daaah mie sio kijana, nilivaa ndala za skaiwei (skyway) mimiTumekubali mkuu maana vitu vyenu vya siku hizi vingine ni kama vinazomea mtazamaji hahaha vijana mna tabu sana