Bhakusyobhile
Member
- Aug 1, 2018
- 65
- 198
Waangola ndio pigo zao hizo.Mtu unapata wapi ujasiri wa kuvaa haya maviatu?Yani unamkuta mtu amevaa halafu yuko comfortable kabisa π³π³View attachment 3021017
Nawaonaga vijana,nabaki mdomo wazi tuMtu unapata wapi ujasiri wa kuvaa haya maviatu?Yani unamkuta mtu amevaa halafu yuko comfortable kabisa π³π³View attachment 3021017
Madogo zetu wanashida sana..Mtu unapata wapi ujasiri wa kuvaa haya maviatu?Yani unamkuta mtu amevaa halafu yuko comfortable kabisa π³π³View attachment 3021017
Dalili mojawapo ya uzee ni hii. Fashion za madogo kuziona hazina uzuri wowoteMtu unapata wapi ujasiri wa kuvaa haya maviatu?Yani unamkuta mtu amevaa halafu yuko comfortable kabisa π³π³View attachment 3021017
ππKobazi limekua na kubalehe
Yani ni zaidi ya shidaMadogo zetu wanashida sana..
ππππNawaonaga vijana,nabaki mdomo wazi tu
Mambo ya Raizoni enzi hizo naona yanarudi taratibu kwa mtindo wa yeboyebo!Mtu unapata wapi ujasiri wa kuvaa haya maviatu?
Yaani unamkuta mtu amevaa halafu yuko comfortable kabisa π³π³
View attachment 3021017
Kama yale ya jux na mariooHii inafaa uvalie suruali ya jeje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unatokaaa kinoumaaaa!!!!