Sawa mkuu kumbe tuko pamojaDaaah mie sio kijana, nilivaa ndala za skaiwei (skyway) mimi
Hicho si kiatu ni sandalMtu unapata wapi ujasiri wa kuvaa haya maviatu?
Yaani unamkuta mtu amevaa halafu yuko comfortable kabisa π³π³
View attachment 3021017
πππ Hatari!Mambo ya Gen Z hayo.
Kuna siku dogo wa kike alivaa liyebo la ajabu, kubwa afu lina mamipira mengi hata sehemu ya kutumbikiza mguu haionekani ila yeye alikua analipenda balaa.
Gen Z hao, fashion zao utaumiza kichwa bure
Du!aisee hata kanisani kumbe wapoπ³π³Leo tu Church kuna kijana kaja kavaa hilo likiatu na suruali ya jeans pana chini halafu juu kavaa sweta kubwa sana la round na kwa ndan kavaa shati la kola so kola kaiweka vizuri shingoni halafu sweta limechomekewa. Aisee yule kijana amekua kama model maana watu wamemwangalia sana na yeye hakuwa na habari na mtu kashika biblia yake na kitabu cha nyimbo safi kabisa
MmmmhWavaao wote wameleft group
Nimechekaaa had baas, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo tu Church kuna kijana kaja kavaa hilo likiatu na suruali ya jeans pana chini halafu juu kavaa sweta kubwa sana la round na kwa ndan kavaa shati la kola so kola kaiweka vizuri shingoni halafu sweta limechomekewa. Aisee yule kijana amekua kama model maana watu wamemwangalia sana na yeye hakuwa na habari na mtu kashika biblia yake na kitabu cha nyimbo safi kabisa
Mkuu we uzito ulijuaje bila kuvaa mzee wetu???πππSafi sana haya mavitu, yanapendeza sana kwa vijana, hasa ukute kavaa suruali buga anatokelezea aseee π!.
Ni vile ujana una mwisho ningeweza kuvaa ila ndo no more time, wao ni wakati wao wacha wavae wapendese, wakati wetu hayakuwepo haya madude.
Alafu nilidhani ni 8kilo likiwa mguuni, kumbe hata uzito wa 1kilo hayafiki π!.
Bahati nzuri nikiwa nasoma hii mada hapa Morogoro nilipitia pale mzunguko karibu na crdb kuna vijana wanauza, nikajiridhisha.Mkuu we uzito ulijuaje bila kuvaa mzee wetu???πππ
Uliwezaje mkuu maana lile likiatu mi nikilitazama tu naliogopaBahati nzuri nikiwa nasoma hii mada hapa Morogoro nilipitia pale mzunguko karibu na crdb kuna vijana wanauza, nikajiridhisha.
Niliweza kwa sababu ya huu msemo wa wasomi;Uliwezaje mkuu maana lile likiatu mi nikilitazama tu naliogopa
Ukisikia wanasema "ameyatimba"... Viatu vyenyewe ndiyo hivyo...
πππππ!Ukisikia wanasema "ameyatimba"... Viatu vyenyewe ndiyo hivyo...