Kura yako ni siri yako....unaweza kusema hadharani kuwa utampigia Lisu lkn ukiingia ktk chumba cha kupigia ukiwa peke yako unaweza mpigia Magufuli bila hata Lisu kujua na bado maisha na urafiki ukaendelea kama kawaida.Kura yangu nampa Lisu,za magufuli zitapelea.
Na kinyume chake pia ni sahihi. Kwahiyo unaweza kuwa mwanaCCM kindakindaki na bado ukampa TAL kura yakoWiki ijayo tarehe 28/10 watanzania wote tunaenda kupiga kura kuchagua Rais, wabunge na madiwani
Jambo moja ambalo kila mmoja anapaswa alitambue ni kwamba kura yako ni siri yako.
Maana yake ni kwamba unaweza kuwa unampenda sana au ni rafiki wa karibu na Lissu lakini bado unaweza kumpigia kura yako Magufuli na wakati huo huo Lissu hawezi kujua kama umempigia kura Magufuli. Unaweza kufanya hivyo na bado urafiki wenu na Lissu ukaendelea bila hata matatizo unaweza kunywa nae hata chai, unaweza hata kumdanganya kuwa nimekupigia kura wewe na ukamshangilia na asijue, huo ndio uzuri wa kura ya siri.
Kura ya siri haina uadui wala ugomvi mpigie kura unayemuamini na urafiki wenu/wako bado utaendelea baada ya uchaguzi.
Kuna uwezekano mkubwa tarehe 28/10 Lissu akampigia kura Magufuli.
KURA NI SIRI YAKO
Ndio uzuri wa kura ya siri, haina uaduiNa kinyume chake pia ni sahihi. Kwahiyo unaweza kuwa mwanaCCM kindakindaki na bado ukampa TAL kura yako
Robert A hajaandikishwa kuwa mpiga kura kwani hana vigezo! sasa wewe unaanzaje kusema uongo? TAL atapigiwa kura na wananchi watanzania wanao-ukataa UdanganyikaSisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Kwani lenu lipi? mkidanganywa na ahadi hizi Mtaisoma namba kwa kasi ya ajabu!!Sisi watumishi walahatuhangaiki...
Ondoa shaka mwaka huu NEC imejipanga kufanya uchaguzi wa viwango vya hali ya juu,NEC watoe fomu za matokeo ili waepuke kupewa kesi ya wizi kwa kukusudia maana haiingii akilini ufanye uchaguzi alafu ugome kutoe fomu ya matokeo ya kusithibitisha hata ushindi bila kuweka matokeo wazi hapo utakuwa unajitakia kesi ya wizi kwa kukusudia.
Tena akidhania Mungu anaweza kumsamehe kwa lile tukio la September 7thNa Magufuli akampigia kura Lissu[emoji3]
Wanaccm tutalinda kura za magufuli ?Wiki ijayo tarehe 28/10 watanzania wote tunaenda kupiga kura kuchagua Rais, wabunge na madiwani
Jambo moja ambalo kila mmoja anapaswa alitambue ni kwamba kura yako ni siri yako.
Maana yake ni kwamba unaweza kuwa unampenda sana au ni rafiki wa karibu na Lissu lakini bado unaweza kumpigia kura yako Magufuli na wakati huo huo Lissu hawezi kujua kama umempigia kura Magufuli. Unaweza kufanya hivyo na bado urafiki wenu na Lissu ukaendelea bila hata matatizo unaweza kunywa nae hata chai, unaweza hata kumdanganya kuwa nimekupigia kura wewe na ukamshangilia na asijue, huo ndio uzuri wa kura ya siri.
Kura ya siri haina uadui wala ugomvi mpigie kura unayemuamini na urafiki wenu/wako bado utaendelea baada ya uchaguzi.
Kuna uwezekano mkubwa tarehe 28/10 Lissu akampigia kura Magufuli.
KURA NI SIRI YAKO