Ukitaka kuujua uzuri wa mwanamke mwangalie mama mzazi vizuri tena taratiiiiiiiiiiiiiibu , alafu rudia tena kumuangalia then ukisharudia kumwangalia hapo utajua uzuri wa mwanamke ni kitu gani.
Tabia njema ndiyo kitu muhimu,mwanamke hatakama angekua na vyote vilivyoorosheshwa hapo,kama hana tabia njema,si chochote.Mfano wanawake wenye umbo zuri halafu wanatabia mbaya,wengi huishia kuwashushia heshima waume zao na mwishowe hata kuwaua moja kwa moja au kupitia mifadhaiko n.k.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.