Tafuta pesa au wa kulingana na weweMwandani wangu ni wale ambao hawezi pita ukamuangalia mara moja, lazima ugeuke tena. Not only outside, hata kitabia na akili ni exceptional.
Kutoka na hilo amekua akipata usumbufu sana kitu kinachoniweka roho juu, ingawa yeye ananihakikishia kua yuko matured enough and aware.
Natibu vipi hii roho juu?
Huyu ni ke au me? [emoji15][emoji15][emoji15]Yaani ulishindwa kujifunza hata kwa viongozi wetu wa dini kama Gwajima aliyemuoa mama yetu huyu
View attachment 2467266