Uzuri wa mwandani wangu unanifanya niishi roho juu

Uzuri wa mwandani wangu unanifanya niishi roho juu

You're very unsecured. Sasa kwanini uliamua kumuweka ndani huku ukijua ni mzuri sana? Unamsifia anatabia njema, naye anakuhakikishia kuwa uwe na amani lakini wewe bado umepandisha uzi hapa jukwaani, sasa endelea kumfuatilia na kumuuliza uliza update ugonjwa wa moyo baadae.
 
Mwandani wangu ni wale ambao hawezi pita ukamuangalia mara moja, lazima ugeuke tena. Not only outside, hata kitabia na akili ni exceptional.

Kutoka na hilo amekua akipata usumbufu sana kitu kinachoniweka roho juu, ingawa yeye ananihakikishia kua yuko matured enough and aware.

Natibu vipi hii roho juu?
Kinachokufanya uwe roho juu ni umaskini ulionao, nakukumbusha tu hakuna mwanamke anayekataa kuchepuka akipewa pesa; labda mwanamke huyo awe na pesa za kutosha pia (hiyo ndio salama yako japo ni kwa 80% hizi 20% kuna probability uliyenaye akaliwa tu pia kutokana na sababu ambazo zipo nje ya uwezo wako..) kaa kwa kutulia...
 
Iko siku atajaa tu,narudia iko siku atajaa tu,jiandae kujinyonga.
 
Huna umri mrefu kijana labda uamue kuwa mjinga ukijifanya mjanja kwaheri.
 
Back
Top Bottom