Kinachokufanya uwe roho juu ni umaskini ulionao, nakukumbusha tu hakuna mwanamke anayekataa kuchepuka akipewa pesa; labda mwanamke huyo awe na pesa za kutosha pia (hiyo ndio salama yako japo ni kwa 80% hizi 20% kuna probability uliyenaye akaliwa tu pia kutokana na sababu ambazo zipo nje ya uwezo wako..) kaa kwa kutulia...Mwandani wangu ni wale ambao hawezi pita ukamuangalia mara moja, lazima ugeuke tena. Not only outside, hata kitabia na akili ni exceptional.
Kutoka na hilo amekua akipata usumbufu sana kitu kinachoniweka roho juu, ingawa yeye ananihakikishia kua yuko matured enough and aware.
Natibu vipi hii roho juu?
Samaki wa mapambo huwa haliwi!
Umevunja kanuni moja ya muhimu sana na itakugharimu pakubwa!
View attachment 2467211
Me nkajua n Doctor ShikaYaani ulishindwa kujifunza hata kwa viongozi wetu wa dini kama Gwajima aliyemuoa mama yetu huyu
View attachment 2467266
Hata bibi alikuwa mwaliMwandani wangu ni wale ambao hawezi pita ukamuangalia mara moja, lazima ugeuke tena.