Hufai kua Simba hufai kuishi mwituni kweny wanyama wakali afu mawindo machache utakufa mapema uyo Demu unayesema mzuri aliumbiwa ww mwanaume asa kama wew ukimogopa nani atamtongozaLIKUD aliwahi kushusha Uzi humu kuhusu hatari ya kumiliki mwanamke pisi Kali.Sio nzuri kuishi na mwanamke mrembo kupitiliza hata Mimi mwenyewe siwezi kbsa.
Aisee hutokaa uache kuwa na insecurities juu yake maana atakuwa anaziteka nyoyo za wanaume wengi na hapo kugongewa Ni dakika sifuri tu.
Wewe tuonyeshe wako tumuoneHufai kua Simba hufai kuishi mwituni kweny wanyama wakali afu mawindo machache utakufa mapema uyo Demu unayesema mzuri aliumbiwa ww mwanaume asa kama wew ukimogopa nani atamtongoza
Aiseee....mbona pisi kali namna hii jamaa anaitema?mzabzab, jimbo limepoteza mbunge, mbunge kaona bora tu apige chini
Ha haa tumthaminishame mwili mzima sio kauso tu[emoji3]
Uzuri wa sura bila kua na tako ni ubatili mtupu.Ana tako?
hahahaha qmmmmmqAna tako?