Uzushi/upotoshaji kuhusu ujasiriamali

wewe ni mmoja kati ya watu wenye nidhamu ya uoga utaendelea kutumikishwa mpaka uzeeni mwako mi nilifikiri labda ulishawahi jaribu ukashindwa. Walio fanikiwa ktk ujasiriamali ni wengi tu

Jibu lako hili limenifanya niwe na shauku kufahamu aina ya mtu mwenye ufahamu wa makalio kama huu

Na baada ya kuangalia thread na posti zako za nyuma za kina wema,aunt ezekiel sijui mitongozo au kuomba ushauri kuhusu namna kupata demu

Hakika it will be an insult to my level of knowledge kukujibu mtu kama ww.

Tuko ktk horizon tofauti kabisa, tafuta watu wa aina ako.
 
Jifunze kufupisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Economy hii thread iko kwenye forum ya biashara, maana ake sio siasa au udaku ya maneno kumi kwmb 'fulani kafumaniwa gesti'

Infact kwa mjasiriamali anaejitambua maneno ayo ni machache sana sababu entrepreneurs unaowajua wote ww wanasoma vitabu zaidi ya 50 kila mwaka.

Sasa ukiniambia nifupishe nakuwa sikuelewi mkuu coz nashindwa kuelewa utasomaje The EastArican, The Guardian zenye kurasa zaid ya 20.
Jifunze kufupisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point, huyu anataka watu wabaki kuwa watumwa, success is about being what you want to be and not the vice versa. ndo maana unakuta mzee kijijini anafuga mbuzi 30 anafuraha kuzidi wewe mwenye apartment masaki because he is his self and you are not.
 
True mkuu, wengi hupotoshwa na nadharia za semina au hadithi au kuona mtu katoboa basi nae anafuata, bila kutizama mtu uyo katoka wapi

huu ni mfano tu apa;

 
True mkuu, wengi hupotoshwa na nadharia za semina au hadithi au kuona mtu katoboa basi nae anafuata, bila kutizama mtu uyo katoka wapi

huu ni mfano tu apa;

View attachment 548383
Kweli kabisa,yaani mtu anataka afungue biashara leo halafu kesho aanze kupata faida ya kutosha,siyo rahisi hivo.biashara unaweza ifungua ikakaa hata miaka miwili hujapata faida yoyote ya kifedha ila inakupa faida ya uzoefu na maarifa zaidi.
 
Umefafanua vizuri sana,thank you.
 
Hahahahaa [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] "thread zake" hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hongera kwa kuajiri vijana, nina biashara yangu yenye kipato kizuri tu, ila huwa naanza ujasiriamali mdogo mdogo wa kutengeneza kwa mikono msimu ukiwa mgumu naacha sasa nataka kuanza tena, tatizo lipo kwenye kuajiri vijana wa kunifanyia hizo kazi nawapata wapi?
 
Sasa ukiwaambia Wabongo kwamba kampuni tunazo ziona zilianzia mbali mno hakuna anaye kuelewa.

Kwa kifupi sisi bad mno na sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa mkuu tatizo sio kwamba wabongo hatuelewi, nafikiri ishu ipo kwenye ufuatiaji sababu ziko kampuni nyingi tu za kibongo zilizoanza from 'scratch'

Na wapo credible entrepreneurs waliothubutu ata kuandika vitabu vya historia zao Mfano C.E.O wa Global Publishers Erick Shigongo( Nilikotoka)

Nafikiri ishu ni ufuatiliaji na pia kibongo bongo tuna tatizo la documentary, actualy ni fursa kwa watu kama unaweza kutengeneza let say t.v channel au kuandika kitabu cha historia za watu waliotusua, ni biashara nzuri Napoleon Hill umaarufu wake ni kwamb aliweza kudocoment maisha ya watu kama Thomas Edison na wengine wengi.

Mfano mwingine kampuni Kama Clouds Media Group ilianza kwenye chumba kimoja kwa wale wasifahamu.
 
Point, huyu anataka watu wabaki kuwa watumwa, success is about being what you want to be and not the vice versa. ndo maana unakuta mzee kijijini anafuga mbuzi 30 anafuraha kuzidi wewe mwenye apartment masaki because he is his self and you are not.
Mkuu Darubini hujanielewa and the fact kwamba hujanielewa ni kuwa mchangiaji uliye mqoute hakunielewa pia ndio sababu kuna sehemu nimemkosea.

To make it clear sisemi ujasiriamali ni uzushi bali nasema kuhusu uzushi/upotoshwaji unaohusishwa na dhana ya ujasiriamali

To make it more understanding, jambo linaweza likawa sio la kizushi lakini likaonekana ni la kizushi kutokana na vitu vya kipotoshaji vinavyozushwa, na kma vitu hivi vikihubiriwa sana hujenga ukweli kuhusu uzushi huo, na hivyo kuondoa uhalisia wake na kubaki uzushi mtupu.
 
Uko wapi, na unataka vijana wangapi,jinsia gani,na unakadiria kuwalipa shilingi ngapi,kwa siku, wiki,kwa mwezi au kwa msimu?

Na una sehemu ya kuwalaza,na chakula utawapa au watajitegemea?
 
TAECO congarats Chief,

I took time off kuona unachofanya, ts amaizing!! Nikuambie tu kitu UMESHAPENYA ASEE

Kuna kitu Mentor wng hupenda kusema kama ukiweza ku transform idea into reality hata kama isipoweza kuingiza pesa basi kwa mjasiriamali ni ushindi

Tafsir ya msemo huu ni kwamba jiulize watu wangapi miaka nenda rudi kila siku wao ni idea tu ukiuliza umefikia wapi, jibu ni bado!!

'Everybody preaches ideas what an entrepreneur does is transform the idea into reality and preach opportunity'

You are on the right truck, wala usiwe na pupa keep doing wat yo doing, cha msingi unachotakiwa kufanya ni kufanya biashara yako i 'survive', absorb more network as you can and eventually money will follow you

Soma sana vitabu hasa vinavyohusu masuala ya uwezeshaji, soma vitabu vya online marketing and building networks, i tell u tatoboa tu

Ulichonacho ambacho ni siraha nayoiona kwako ni uvumilivu na subiri, yo men patiance is power.

Nimekupa mifano ya Facebook iliyokaa miaka 7 bila faida, soma historia ya Henry Ford, Marc Cuban, Disney land, THE LIST is long

Nonetheless, nimekupa mfano wa Kampuni ya Amazon, watu wasichojua pamoja na umaarufu wa kampuni hii Jeff Bezos ameweza kupata hela ya kucover running cost tu kwa miaka yote iyo.

Hongera sana mkuu.
 
Uko wapi, na unataka vijana wangapi,jinsia gani,na unakadiria kuwalipa shilingi ngapi,kwa siku, wiki,kwa mwezi au kwa msimu?

Na una sehemu ya kuwalaza,na chakula utawapa au watajitegemea?
hiyo ya pa kulala ndo changamoto kwangu, kula haina shida nikipata wawili wakuanzia haina shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…