Uzushi wa kifo cha meja kunta

Pisi kali

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2019
Posts
1,234
Reaction score
2,535
Meneja wake athibitisha kwamba yu hai hajafa na anaendelea vizuri



Ila wamefanya kik ya kijinga sana Mungu hadhihakiwi jamani

Wametembelea kik ya REMA[emoji57]

Huyo gmaker na meja mwenyewe inabidi watuombe msamaha

Mama na mchumba wake inadaiwa walikua wanazimia zimia according to his father (wa meja) kik zingine hazifai

View attachment 1344924

Aliyetoa habari ya uzushi ni meneja wake, gmaker[emoji1426] Watu wakaanza kuirepost kua amefariki

Meja kunta ni MZIMA (tuliolia hadi kamasi sijui watatuambia nini☹️☹️
 
Kama ni kweli kiki sijui hawa watu wanatakiwa wakamatwe na kushtakiwa kwa kupotosha na sio sababu huyu msanii mtu yoyote anyezulia mtu kifo ashikwe. Kawaida msiba wowote ni wana family ndio wakutangaza sio mtu baki.
 
feyzal,

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]

Na bado meneja wenzake wa kwenye singeli walimpigia huyo gmaker akasema kweli kafariki huku analia Sasa si upangesese huo

Ndio shida ya kua na mameneja hawajaelimika mtu anavimilioni 2/3 zake basi na yeye meneja

Dogo atapotea hivihivi
 
Kama ni kweli kiki sijui hawa watu wanatakiwa wakamatwe na kushtakiwa kwa kupotosha na sio sababu huyu msanii mtu yoyote anyezulia mtu kifo ashikwe. Kawaida msiba wowote ni wana family ndio wakutangaza sio mtu baki.

Kabisa wakamatwe maana wamefanya hadi familia imeweka msiba mfano mwanafamilia angekufa kwa presha baada ya kusikia habari za msiba sijui wangesemaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…