Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona hapo tuuuu
Na viewers kaongeza sana kwenye hiyo video ya mamu
😂😂😂😂😂😂[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]huwa nafurahishwa na watu wenye hasira jinsi wanavyopanic
meneja Qnma[emoji23][emoji23] nmecheka sana
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usipende matusi sasa
Hii inaonesha namna gani mondi anatesa akili yako kwelkwel
Ahsante kwa ufafanuzi mujarab mkuuNi vijana hao wanapenda tu kutumia hivyo vyeo hawana uhusiano navyo wowote.
Na kinacho niudhi ni hizo zilizo chanika zina bei kubwa kuliko hata nguo nzimaKwakweli mkuu hupendi hizi nguo. Yani kila siku unazipinga[emoji23]
Ndiomaana mimi na wewe bado tunapenda hadi leo wallah....[emoji23]
Ukifanikiwa kusikia ndio akina nani hao, naomba unitagSijui ndio nazeeka jamani mbona hao watu siwafahamu
Mkuu, ni wasanii wa nini na wanatokea nchi gani..??Usanii wa kuunga kwa gundi unatabu sana.
Ohhhhppppp.....
[emoji23][emoji23][emoji23]Ndiomaana mimi na wewe bado tunapenda hadi leo wallah....[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
ni zile stahili za kutimua vumbi kwa mguu mmoja bila kupumzika kisingeliOhhhhppppp.....
Kumbe ni mwanamuziki..!!
Na anaimbia kwenye band gani kwani..??
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasanii wa Singeli wanatokea Tz
Mkuu, ahsante kwa ufafanuzi mujarab kabisaWasanii wa Singeli wanatokea Tz
Sawa mkuu, sasa naona nimeingilia mlango wa kutokea kwenye huu Uzi...tehni zile stahili za kutimua vumbi kwa mguu mmoja bila kupumzika kisingeli