V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

Ukimwi upo dunia nzima ..........je malaria ipo dunia nzima? Je USA au UK au Germany kuna malaria?

Kwa hiyo ukiwa dunia nzima. Ina maana ni muhimu kwetu wakati malaria inatuangamiza ?
 
Jamani mimi sina brains za kudadavua haya mambo ila nina mfano hai 1. Kuna mwanamke mtz nilimfaham like more than 20 yrs ago. Alikua hiv +ve. Akapata mzungu wakaenda ulaya. (Aliondoka na hiv yake nadhani bila kujijua i think.) Coz yule mwanaume wa kibongo alieishi nae huku alikuja kufa kwa AIDS. Sasa kule ulaya ikafika time ya kutaka kuzaa. Akaenda kupima afya akakutwa na HIV. Basi wakaahirisha hawakutaka tena kuzaa. Wakaendelea kuishi. Miaka ya 2000s yule mama alifariki kwa "AIDS" Sasa cha kushangaza sasssa!!! Yule mzungu yupo fit. Na alioa mke mwingine(this time wa kizungu) na hajawahi kuugua hata mafua to this day!!!
 
Mkuu mbona kama unageuza mambo, UKIMWI upo ila sababu ya UKIMWI si HIV hapo ndiyo Denialists na Defendants wa hypothesis ya HIV/AIDS wanapokinzana.

narudia tena na pianapenda kurekebisha kitu.
immuno deficiency zipo ila incidence zake ni ndogo sana. kwa wastani ni watu wawili kwa kila watu 10000 wanazaliwa
nimeonyesha pia kwenye mchango wangu wa hapo juu

ili uweze kuelewa tunachojadili hapa lazima uelewe kwanza mambo yafuatayo kwenye mwili wa binadamu.
1. concept nzima ya immunity na ufanyaji kazi wake kwenye mwili wa binadamu.
2. uwe na uelewa wa biochemistry ndipo utakapoweza kung'amua vitu kama gp120 ccr na vingine vingi,
3. uijue vizuri topic ya nuclic material na uweze kuchambua virusi kwa kuwea kwenye makundi
4. uwe na uelewa mzuri kwenye medical research

ukiwa na ujuzi kwenye hayo ndio unaweza kuja nikakwamba hiki kiko hivi na wewe ukaweza kubisha,

huyu jamaa kama anaamini ukimwi haupo na yeye ameweza kusaidia wagonjwa wa ukimwi, afanye utafiti wa kutosha, aupele kwenye baraza la tafiti au hata NIMR yaani national institute on medical research

vinginevyo anaweza kushtakiwa na watu kama mimi na pia na watu wengine watakaochukua uongo wake na kuutumia mwisho wa siku waathirika

immuno deficiecy ni tofauti kabisa na acquired immono deficiency syndromes. immuno deficiency inaweza kuwa unakosa kitu fulani kinachohitaji kwa mfumo mzima wa kinga. acquied immuno deficiency syndromes inakuwa inaelezea range ya syndromes ambazo zinakuja kutkana na kuwa low count ya cd4 na CD8.
ukielewa vizuri kazi ya T helper/inducer au CD4+ cells, T cytoxic au CD8+ na T regulator au Treg ambazozinaweza kuwa na receptorya CD4 au CD25 na huwa zina asimia 5-10ya CD4+ cells
hizi cells ili zifanye kazi inategemeana kitu tunaita major histocompatibility (MHC) CD4 anaweza kumtambua kirusi kwakutumia MHC class 2. lakinni kwenye immuno deficiency inakuwa ni vitu vingi na hauhusishi CD4 peke yake. inaweza kuwa B cells, eutrophils, eosinophils na vitu vingine vingi vinavyotakiwa kwenye complement system.
huwezi kuelewa kwa kuelezewa kirahisi hivi na ni lazima uwe na basi ya maarifa na ujuzi wa kiafya
pia ujue hata paka na ng'ombe wana ukimwi wao unasambazwa na virusii. ukisoma article niliyoweka uaona
jamana ushauri wangu someni na pia msijifanye mnajua sana, tumie wataalam kupata maarifa maana kipo kitengo cha uelimishaji kwenye afya.
mimi siwezi kuwa mtaalam wa bara bara au engineer na nikaanza kuwabishia wataam kuhusu nyumba, machine au vingine.nikitaka kujua nawafuata watu waliotumia muda mwingi kupata maarifa ili wanieleweshe.
 
Hawa madaktari wetu hadio wanasikitisha

Kwanza wamewekewa maelezo ya madaktari bingwa na wataalam walioanzisha hizi dhana zao kuhusu huu ugonjwa kichaa wakikana hizi dhana walizozitoa mwanzo lakini hawa madaktari wetu wameamua tu kutoziangalia au kutozitolea maelezo ya kina ni kwanini Gallo anasema unaweza kuwaangamiza HIV kama kinga yako ya mwili iko imara....

Hivi nyie madaktari kwanini mko hivi?

Kwanza mmeshatofautiana kwenye kupima vipimo hivi kwasababu mmoja anasema vina uhakika 99%,sijui huyu anajua hata maana ya 99% au alijiandikia tu,na mwingine anasema kuwa vipimo hivi havina uhakika sana maana ukiangalia sijui antbodies zote ziko sawa hadi upime tabia ya kirusi na ma bla bla meengi matokeo yake mnatuchanganya sisi ambao hata hatujayasomea haya madude.....

Mwingine kaja kamwaga makopi yake hapa,yaani huyu kama ni mwalimu namfukuza mara moja kama niko kwenye nafasi hiyo,mwalimu anapaswa amjengee mwanafunzi uwezo wa kuelezea kile anachofundishwa na sio kukarii ili akifika kwenye kutaka kutoa maelezo kama hapa aweze kuelezea kile anachokielewa na sio kusema alichofundishwa bila tafakuri...

Madaktari hawa wamekuwa walielezea yale waliyofundishwa tu bila hata kujiuliza sababu ya watu kama hao akina Luc kusema HIV hasababishi UKIMWI lakini wao wamekuja kuendelea kupiga makelele hapa kuwa anasababisha...

Ujue najiuliza kitu kimoja,ni kwanini akina Deception na mzee wa kigonzile wanapanga hoja zao hadi zinavutia lakini hawa madaktari wanaandika kiajabu ajabu bila kueleweka,hivi wamefundishwa namna gani? Nilianza kuusikia UKIMWI miaka ya mwanzoni kabisa ya 90 lakini kuna kitu kilikua kinaniambia hapa kuna kitu hakiko sawa tangu wakati ule,leo nakutana na mtu akipangua hoja za hawa watu kwa ustadi na wanaosema kuna UKIMWI wakishindwa kujibu,kwanini tuendelee kuamini kitu ambacho wanaotuaminisha wanashindwa kukielezea?

Wanasema etu CD4 sio pekee zinahusika na kinga ya mwili kwasababu kinga ya mwili ni pana sana na haihusiani na CD4 pekee halafu hapo hapo wanasema ARvs zinaongeza CD4,hivi hawa watu wanadhani kila mtu hapa ni kichaa sio? Kama kinga ya mwili haihusiani na CD4 pekee kwanini hayo mavidinge yenu yaongeze CD4 pekee?

Mpana hapa nyie either ni waongo kwa maslahi yenu au hamjui chochote kuhusu huu ugonjwa ambao unatia mashaka uwepo wake...

Mnakazania HIV ameshakuwa isolated,mkiambiwa muweke ushahidi mnaweka C&P sijui mnakuwa mmelewa?

Hapa picha tu mmeshindwa kuleta mnabakia kudai ooh sijui huyo mdudu anasababisha hiki au kile,huu ugonjwa mtabaki nao wenyewe kwenye makaratasi yenu tu na watu wakifa nyie ndio mtakuwa responsible maana mnashindwa kujibu maswali rahisi kabisa kwasababi hiyo ni fani mliyosomea sijui miaka mingapi huko..

No more lies......
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Eiyer , knowledge mpya hii hapa kaka, kumbe tuna AINA mbili za UKIMWI, msome huyu learned brother hapa:

zipo aina nyingi za ukimwi: ukimwi kama ukimwi na upungufu wa kinga mwilini.

ukimwi
: unaweza kusababushwa na chakula, autoimmune states katika mwili na matatizo mengine kama mionzi nayoweza kuua aina fulani ya cells zinazozalisha cells nyingine

upungufu wa kinga mwilini: unasababushwa na vvu huitwa acquired immono-deficiency syndromes na upungufu wa kinga wa kawaida nje ya ukimwi huitwa immuno defficiency. pia kwenye vitabu vingi immuno defficiency inajitegemea kama topic na haiunganishwi na AIDS

Nami nikahoji hivi:

Mkuu, hapa sasa nimepata elimu mpya kabsa, kwamba kuna AINA NYINGI za UKIMWI, including:

(a) UKIMWI wa kawaida (Immuno defficiency). Ukimwi huu unaweza kusababushwa na chakula, autoimmune states katika mwili na matatizo mengine kama mionzi nayoweza kuua aina fulani ya cells zinazozalisha cells nyingine;

(b) Upungufu wa kinga mwilini (AIDS). Ukimwi huu ndo unaosababishwa na huyo kirusi wa HIV.

Napata elimu mpya kabsa hapa. Na kwa maana hii sasa, kumbe hoja za mkuu Deception zinalalia hapo kwenye (a) tu, yaani Ukimwi wa kawaida ambao ni ''Immuno defficiency''. Hehehe this is very interesting to follow-up!

Sasa mkuu pakamwam , nielimishe zaidi ktk hoja ifuatayo:

So, mtu mwenye huo Ukimwi wa kawaida (yaani Immuno Defficiency) anaugua magonjwa tofauti na magonjwa ya Upungufu wa kinga mwilini (yaani AIDS)?? Thus, kuna utofauti wa magonjwa specifically kwa kila aina ya Ukimwi ?? Ama magonjwa ni yale yale (the same) kwa hizo aina mbili za Ukimwi ??

CC: mkuyati og .

Learned brother akanijibu hoja yangu namna hii:

anaugua tofauti ingawa inategemea na chembe za kinga ziliathirika. fuailia utaona kuna mahali nimetaja magonjwa ambayo yako katika immuno deficiency state. inategemea na magojwa. fuatilia post mahali fulani utaonna magonjwa na unawez kwenda kuyagugo
 
Mkuu Eiyer , knowledge mpya hii hapa kaka, kumbe tuna AINA mbili za UKIMWI, msome huyu learned brother hapa:



Nami nikahoji hivi:



Learned brother akanijibu hoja yangu namna hii:

Mkuu sijawahi kusikia kuna UKIMWI wa aina mbili tofauti maishani mwangu na hapa nina miaka 30+,hili nimelisikia hapa kwa hawa majamaa wanaojiita madaktari na kiukweli nasikitika sana kuwa na watu wa aina hii,Mungu jalia hii serikali inayowafanya hawa kuangalia afya za watanzania iondoke madarakani maana tiutakufa sana

Hawa watu hawasemi ni kwanini kwenye utafiti wa mwaka 1984 hawakuchukua matokeo ya wengi na wakachukua matokeo ya wachache,ni utafiti wa aina gani huu? Hawa madaktari wanasema eti huo ni utafiti wa kizamani,huyu daktari anadhani kwamba wote hapa ni wajinga kama yeye,ni logic gani walitumia hao watu wa "kizamani" kusema HIV ndio sababu ya UKIMWI ambayo leo bado ni valid halafu kwenye utafiti huo huo ulioleta matokeo haya haya uonekane umesema uongo kwenye mambo mengine

Kama utafiti umefanyika wakati sayansi haijaendelea kama leo hii ina maana kwamba kuna uwezekano utafiti wote ulidanganya na kama kuna mahali haukudanganya waseme ni kwanini

Unachukua watu 100 kwa mfano unawafanyia vipimo kujua chanzo cha ugonjwa wanaoumwa unakuta watu 40 wana aina fulani ya virusi halafu unakuta watu 60 wanaougua ugonjwa ule ule hawana ho virusi halafu unahitimisha kuwa vile virusi walivyokutwa navyo watu 40 ndio chanzo cha ugonjwa unaowasumbua watu wote 100 bila kujali wale 60 ambao ni wengi ambao hawana hivyo virusi

Miaka 30 baadae unasema kwamba huo ufatiti ni wa kizamani,hivi kama ni wa kizamani kwaninbi usitumie akili kwa kusema kuwa unaamua kukataa kuwa virusi vilivyodaiwa kusababisha maradhi ya wale watu sio kweli bali inawezekana ikawa ni kitu kingine na badala yake unaamua tu kukubali matokeo lakini ukitakaa mkinzano wa kimantiki wa idadi,ambayo kwenye utafiti ni muhimu sana?

Unataka bado tukupe wagonjwa wetu uwatibu wewe?

Hapana kwakweli.....

Napata mawazo ya kuanza kutumia miti shamba tu kwenye maisha yangu yaliyobaki maana hawa madaktari ni hatari kuliko hata maradhi tunayoyapata....
 
....imekuwa ndefu mno na ngumu kufuatilia.

Tatizo kubwa mnashindwa kukiri kuwa lugha yenyewe tunayoitumia haina utajiri huo wa maneno au sisi/mimi hatuna/sina ufahamu huo mkubwa wa kuitumia katika muktadha huu wa fani ya afya. Hapo comment za juu nilijaribu kuelezea kwa lugha ambayo inatumika kwa ujumla wake. Neno kama UKIMWI limetumika kwa muda likimaanisha upungufu huo wa kinga utokanao na maambukizi ya virusi vya kinga ya mwili, ambavyo kwa uhaba huo huo wa maneno unakuta wanaita tena virusi vya ukimwi kama title ya thread (V.V.U). Sasa tunarudi tena kwenye hoja ya oooh inamaana kuna UKIMWI wa aina tofauti wakati kwa lugha yetu hii ya kiswahili ni kama tumeshakubaliana kuwa UKIMWI ni ile hali ya upungufu wa kinga ya mwili unaosababishwa na maambukizi ya virusi ambavyo tayari vinajulikana.

Uchambuzi huu unafaa ila pia inabidi tutazame namna ya kuchangia, maana naona kuna watu wanaambia hili wanarudi wanauliza inamaana kuna UKIMWI wa aina nyingine zaidi. Lazima utambue kuna mambo ambayo yanaathiri afya ya jamii kwa ujumla wake kwa maana ya madhara ya muda mrefu na pia uwingi wake katika jamii husika. Kiuhalisia kuna magonjwa mengi ambayo yanaweza kupunguza kinga ya mwili, ila kwa jamii yetu ya tanzania hayajawa kwa upana wa kuyafanya kuwa ni hoja ya kujadiliwa kama ilivyo kwa UKIMWI.

Ngoja niwape kasomo kadogo, you will survive the most if you are ready to adapt well to the environment. Linganisha tofauti kati ya ebola virus and human immuno-deficiency virus. Hint..

Facts for HIV;
A very clever virus which has managed to manipulate its existence by binding into the host DNA machinery to the extent that it is difficult to eliminate it/fight it unless you sacrifice your own cells. Also ana replicate (zaliana) very slowly jambo linalofanya kukaa kwa mtu mmoja kwa muda mrefu sana bila kutambua kuwa mtu huyo anacho. Mwisho HIV anaweza ku "chill" tu (lugha ya kitaa ili twende sawa) bila kureplicate kwa kuattach RNA strand yake ndani ya human DNA hivyo kuwa kama akiba ya muda mrefu, then binadamu akijifanya kureplicate tu nacho kinajizaa na kuingia seli nyingine. Characteristics hizi zimesababisha kirusi huyu kuwa habari ya mujini kwa muda mrefu sana, mpaka kinachofanyika kwa sasa ni kusuppress replication aka Anti-retro viral drugs (ARVs) ambazo hizi zinazuia replication...aka kuzaliana kwa kirusi. Ukifanikiwa hapa unapelekea kubaki na virusi wachache sana ambao wako suppressed into a dormant state in your own DNA machinery. Balance ikipotea (mfano ukiacha kutumia dawa) vwalaaa wanajirudi tena kwa upya katika ubora wao na kuanza kuathiri CD4 cells.! Pia kumbuka argument ya CD4 nilishaitoa kule juu kuwa tatizo sio wingi au uchache wa CD4, ni ubora wa hizo CD4 zilizopo ile concept niliwaambia ya Innocent by-stander..!


Facts for Ebola virus;
Huyu ni mpenda sifa za kijinga, akiingia tu anaanza na mbwembwe anaua kila seli aingiayo, hii inafanya dalili za ugonjwa zije kwa fasta ndani ya wiki tu tushajua hadi mwananyamala komakoma kuwa liberia kimeshanuka. Hakiwezi kwenda kwenye latency/dormancy stage kwa binadamu japokuwa kuna baadhi ya strain za ebola ambazo hazina tabia ya hapo juu hivyo kuna binadamu ambao ni carriers wa hii kitu. Kutokana na hili, ni rahisi sana kufight na huyu mpenda sifa, maana anajionyesha kirahisi na anaua host wake ndani ya muda mchache. Hivyo ukizuga tu kuwa unafanya isolation ya waathirika (na vile wanatambulika) then unakuwa ushadhibiti usambaaji wa ugonjwa.

Ukiziona tofauti hizi mbili hapo juu utajua ni kwanini HIV aka kisababishi cha UKIMWI (kwa lugha ambayo iko kwenye vipeperushi vya hospitali zenu) kimekuwa ni tatizo hapa mjini. Na kuendelea kubisha kwetu na kuficha ficha mambo ndio kunatucost wakati wazungu jambo hili lilianzia kwao ila wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupambana nalo!

Nisamehewe sana, naona imekuwa ndefu mno!:teeth:
 
Brazil , london, india, thailand, USA .........kote huko kuna ukimwi . Je huko nako ni africa. Sema ukimwi wa africa unakuwa mkali zaidi kutokana na uchumi unaochangia lishe duni

Mkuu usinilishe maneno, sijasema kwamba huko Brazil, london, india , thailand, USA hakuna UKIMWI. Point yangu ni kwamba sababu ya UKIMWI katika nchi za viwanda na nchi zinazoendelea ni tofauti na ndiyo maana kuna tofauti kubwa kati ya nchi zilizoendelea na nchi maskini.

UKIMWI umeshindwa ku behave kama viral epidemiology and infectious disease. Ukicompare ile ratio ya UKIMWI kwa nchi zinazoendelea na nchi za viwanda ni tofauti.

Umewahi kujiuliza kwanini South Africa inaongoza kwenye rank ya masuala ya UKIMWI?

South Afrika imebeba factor zote 2 kwa wakati mmoja. Yaan factor ambazo zinasababisha UKIMWI kwa nchi zinazoendelea na factor ambazo zinazosababisha UKIMWI kwa zilizoendelea. Thabo Mbeki hakuwa mjinga aliujua huu ukweli, na alipotaka kutaka kudeal nao watu wenye maslahi na AIDS industry waliaanza kufanya mizengwe na kuanza kupika data za uongo ili kumkwamisha.
 
Ukimwi upo dunia nzima ..........je malaria ipo dunia nzima? Je USA au UK au Germany kuna malaria?
Mkuu, Ukimwi (upungufu wa kinga mwilini) upo, lkn hausababishwi na HIV.

HIV munamsingizia tu.
 
Naomba wadau muwe makini sana hapa chini ili mjue tofauti iliyopo kati yetu.

zipi aina nyingi za ukimwi. ukimwi kama ukimwi na upungufu wa kinga mwilini....

Tuchambue hoja za mwalimu:

1."zipo aina nyingi za ukimwi,ukimwi kama ukimwi na upungufu wa kinga mwilini."

Hapa mwalimu amesema kuna aina nyingi za ukimwi lakini ametaja mbili tu.Na hizo mbili tutaziangalia hapo chini.

2.Aina za ukimwi kutokana na mwalimu ni; i/.Ukimwi kama ukimwi, ii/.upungufu wa kinga mwilini.

Sasa sisi wote tunajua kiswahili,sidhani kama kuna mtu hajui kirefu cha UKIMWI.Kwa wale wasiojua si vibaya nikawaandikia.
U-Upungufu wa,KI-Kinga,MWI-Mwilini.Hivyo basi,UKIMWI=Upungufu wa Kinga Mwilini.Sasa tukienda kwenye aina za ukimwi kutokana na mwalimu,tunapata kama ifuatavyo;

i/.Upungufu wa kinga mwilini kama upungufu wa kinga mwilini, ii/.Upungufu wa kinga mwilini.

Haya mnaweza kuyaona kama ni mambo madogo lakini yana maana msaada mkubwa sana katika kujua kwamba unajadiliana na mtu wa aina gani.Hivyo tusiyabeze haya.Kumbukeni kwamba huyu ni mwalimu,tena mwalimu katika sekta muhimu sana ya afya.

Halafu mwalimu amenishutumu mimi kwamba ni muongo kwa kuwa nimesema hakuna UKIMWI.Sasa kuna mdau mmoja alimjibu hivi hapo chini.

Mkuu mbona kama unageuza mambo, UKIMWI upo ila sababu ya UKIMWI si HIV hapo ndiyo Denialists na Defendants wa hypothesis ya HIV/AIDS wanapokinzana.

Lakini pamoja na kujibiwa hivi,mwalimu aliendelea kulazimisha kwamba mimi nimesema UKIMWI haupo.Angalia quote yake hapo chini.

...huyu jamaa kama anaamini ukimwi haupo na yeye ameweza kusaidia wagonjwa wa ukimwi, afanye utafiti wa kutosha, aupele kwenye baraza la tafiti au hata NIMR yaani national institute on medical research

vinginevyo anaweza kushtakiwa na watu kama mimi na pia na watu wengine watakaochukua uongo wake na kuutumia mwisho wa siku waathirika....

Sasa cha msingi hapa ni kumuuliza au kumuagiza mwalimu atuthibitishie ni wapi(aweke quotation yangu) mimi nimesema hakuna UKIMWI.Akishindwa kufanya hivyo basi atakuwa amepoteza sifa kubwa ya uhalali wa kuendelea na mjadala huu kwa kukosa uaminifu na kusema uongo.Hivyo basi,tutashindwa kumwamini kwenye maelezo yake mengine.Aje atoe uthibitisho.

Pia mwalimu anasema anaweza kunishtaki.Nadhani wote mnajua kwamba ili awe na uhalali wa kunishtaki,lazima athibitishe kwanza kwamba nimesema kile anachonishutumu.Hata kama kama anataka kunishtaki kwa hoja zaidi ya hiyo aliyosema,kwanza inabidi athibitishe kwamba hoja hizo nilizozitoa si za kweli,yaani nimepotosha.

Karibu sana mwalimu,mimi niko tayari kushtakiwa na kupata adhabu yoyote ile,lakini kwanza unatakiwa kuthibitisha kile unachonishutumu.

Nataka kuwaambia wadau wengine kwamba,hivi vitisho mimi nimevizoea,sikuanza leo kupata vitisho kama hivi.Si vitisho tu bali pia hata matusi.Sifanyi biashara yoyote humu na siko kimaslahi yoyote,sasa cha kujiuliza ni kwamba,kama mimi na wadau wengine tunaojaribu kueleza mambo haya hatupati maslahi,Je,nini kinatusukuma kupoteza muda wetu kuandika haya yote bila woga?Kuna kitu hapa lazima wadau wengine wakifuatilie kwa makini.

Inabidi tufahamu kwamba,kila mtu ana theory zake,kila mtu atakuja na articles zake anazoziamini na ukizungumzia scientific papers, kila mtu atakuja na za kwake.Lakini,Je,theory(nadharia) au articles au scientific papers hizo ZINAAKISI KILE KINACHOTOKEA MTAANI AU KWENYE VITUO VYA AFYA???

Ndio maana kuna msemo wa mdau mmoja napenda kuutumia hasa kwenye mada hii unasema,"EXPERIENCE IS THE BEST TEACHER".Hakuna njia rahisi ya kuthibitisha kwamba kati ya sisi tunaopinga na wale wanaokubali ni kina nani wanasema ukweli zaidi ya kufanya udadisi/uchungunguzi wako wewe mwenyewe kwenye mitaa na kwenye vituo vya afya.Hakuna njia rahisi ya kuujua ukweli huu kama njia hii.Chukua hatua.


 
Mkuu sijawahi kusikia kuna UKIMWI wa aina mbili tofauti maishani mwangu na hapa nina miaka 30+,hili nimelisikia hapa kwa hawa majamaa wanaojiita madaktari na kiukweli nasikitika sana kuwa na watu wa aina hii,Mungu jalia hii serikali inayowafanya hawa kuangalia afya za watanzania iondoke madarakani maana tiutakufa sana

Hawa watu hawasemi ni kwanini kwenye utafiti wa mwaka 1984 hawakuchukua matokeo ya wengi na wakachukua matokeo ya wachache,ni utafiti wa aina gani huu? Hawa madaktari wanasema eti huo ni utafiti wa kizamani,huyu daktari anadhani kwamba wote hapa ni wajinga kama yeye,ni logic gani walitumia hao watu wa "kizamani" kusema HIV ndio sababu ya UKIMWI ambayo leo bado ni valid halafu kwenye utafiti huo huo ulioleta matokeo haya haya uonekane umesema uongo kwenye mambo mengine

Kama utafiti umefanyika wakati sayansi haijaendelea kama leo hii ina maana kwamba kuna uwezekano utafiti wote ulidanganya na kama kuna mahali haukudanganya waseme ni kwanini

Unachukua watu 100 kwa mfano unawafanyia vipimo kujua chanzo cha ugonjwa wanaoumwa unakuta watu 40 wana aina fulani ya virusi halafu unakuta watu 60 wanaougua ugonjwa ule ule hawana ho virusi halafu unahitimisha kuwa vile virusi walivyokutwa navyo watu 40 ndio chanzo cha ugonjwa unaowasumbua watu wote 100 bila kujali wale 60 ambao ni wengi ambao hawana hivyo virusi

Miaka 30 baadae unasema kwamba huo ufatiti ni wa kizamani,hivi kama ni wa kizamani kwaninbi usitumie akili kwa kusema kuwa unaamua kukataa kuwa virusi vilivyodaiwa kusababisha maradhi ya wale watu sio kweli bali inawezekana ikawa ni kitu kingine na badala yake unaamua tu kukubali matokeo lakini ukitakaa mkinzano wa kimantiki wa idadi,ambayo kwenye utafiti ni muhimu sana?

Unataka bado tukupe wagonjwa wetu uwatibu wewe?

Hapana kwakweli.....

Napata mawazo ya kuanza kutumia miti shamba tu kwenye maisha yangu yaliyobaki maana hawa madaktari ni hatari kuliko hata maradhi tunayoyapata....

Bro, najua wewe ni mwelewa na unapenda kujifunza zaidi. Njia sahihi ya kujibu hoja ni kutoa hoja ila kama nilivyosema mwanzo hii ishu ya HIV - AIDS ni Pana sana. Ugumu mwingine ni juu ya lugha, kiswahili hakina misamiati sahihi na ya kutosha kuelezea yote yanayopasa kuelezewa kwa usahihi Bila mkanganyiko. (ref. Mkanganyiko wa ukimwi wa HIV na "ukimwi mwingine"). kwa kubeza," understandably", umeita watu humu "learned brothers" sio kama complement kwao, Bali kama njia ya kuonyesha dharau.

Sasa, hoja hujibiwa kwa hoja. Conspirators humu wameibua hoja zao kwa kujifunza kupitia uelewa wao wenyewe,, Lakini pia kwa kutumia sources za mtandaoni.
Sasa basi, kwako wewe na wale wote ambao understandably wana doubt kwamba HIV haisababishi AIDS, naweka proof beyond reasonable doubt kwamba HIV husababisha AIDS.
FUATILIA HII LINK HAPA CHINI, KAMA UMEKUJA THIS FAR NAAMINI WEWE SIO MVIVU WA KUSOMA, MAANA WEWE NI LEARNED BROTHER, PA KINGEREZA KILICHOTUMIKA NI RAHISI KWA YEYOTE KUELEWA HIZI SCIENTIFIC FACTS AND REASONS

NB: pamoja na kueleza kwanini HIV inasababisha AIDS, pia article hii inajibu maswali yote juu ya conspiracy za ukimwi. Maswali na hoja zote zilizo humu jamvini majibu yake ni ndani ya article hii, kila swali lililoulizwa humu kama lilivyo na jibu lake papo hapo


PROOF THAT HIV CAUSES AIDS
 
zipo aina nyingi za ukimwi: ukimwi kama ukimwi na upungufu wa kinga mwilini.

ukimwi: unaweza kusababushwa na chakula, autoimmune states katika mwili na matatizo mengine kama mionzi nayoweza kuua aina fulani ya cells zinazozalisha cells nyingine

upungufu wa kinga mwilini: unasababushwa na vvu huitwa acquired immono-deficiency syndromes na upungufu wa kinga wa kawaida nje ya ukimwi huitwa immuno defficiency. pia kwenye vitabu vingi immuno defficiency inajitegemea kama topic na haiunganishwi na AIDS


....imekuwa ndefu mno na ngumu kufuatilia.

... Sasa tunarudi tena kwenye hoja ya oooh inamaana kuna UKIMWI wa aina tofauti wakati kwa lugha yetu hii ya kiswahili ni kama tumeshakubaliana kuwa UKIMWI ni ile hali ya upungufu wa kinga ya mwili unaosababishwa na maambukizi ya virusi ambavyo tayari vinajulikana.

Facts for HIV;
A very clever virus which has managed to manipulate its existence by binding into the host DNA machinery to the extent that it is difficult to eliminate it/fight it unless you sacrifice your own cells. Also ana replicate (zaliana) very slowly jambo linalofanya kukaa kwa mtu mmoja kwa muda mrefu sana bila kutambua kuwa mtu huyo anacho.

Kinachofanyika kwa sasa ni kusuppress replication, aka Anti-retro viral drugs (ARVs) hizi zinazuia replication...aka kuzaliana kwa kirusi.

Mkuu multikasuku , thanks sana learned brother kwa ufafanuzi wako wa kitaalaamu. Nazidi kujifunza mengi sana kuhusu hili dubwana HIV/AIDS.

Hapo kwenye BLUE: Ni mtaalaamu (MD) mwenzako ndo katupa hiyo knowledge kwamba kumbe kuna AINA mbili za UKIMWI, refer quote yake nimeiweka hapo. Too bad learned brothers wenyewe mnakanganyana kwenye hoja zenu!

Hapo kwenye RED: Umeeleza na nimeelewa kwamba kirusi wa HIV akiingia mwilini anajishikiza kwenye T-Cell, yaani T-Cell ndo host wa HIV, kisha kirusi huyo anaanza kuzaliana (to replicate) taratibu over years, na kisha virusi hao huanza kuziua izo host T-Cells ambazo ndo kinga yenyewe ya mwili. Ukaeleza kuwa, hivyo basi ARVs zinafanya kazi ya kuzuia hao virusi wa HIV kuzaliana, thus ARVs' function is to stop the HIV from replicating!

SWALI 1: Je hizo ARVs zinafunction kivipi (how) ili kuzuia hiyo 'replication' ya HIV ?? Achilia mbali suala la kumuua/kumuangamiza
kabsa uyo kirusi, coz najua utajibu kwamba 'ana-mutate'. Ni vizuri utupe mechanism kabsa

SWALI 2: Provided that HIV lazima ajihost (aingie) kwenye T-Cell; Provided that it is difficult to fight it unless you sacrifice your own cells; JE katika kuzuia/kufight hiyo HIV replication, ARVs hazidhuru kabsa T-Cells kwa namna yoyote ile ??

SWALI 3: If wewe mwenyewe umekiri kwamba ''it is difficult to eliminate/fight it unless you sacrifice your own cells'' , Sasa ni nini hasa kinachowafanya mkatae na kubisha kuwa ARVs ni fatal zinaua kinga na kusababisha UKIMWI ??

Ni maswali mepesi kabisa ambayo by common sense yana tija kubwa, na wala sio kubeza! Kwakweli mimi ambae ni layman ktk medical expertise, maswali haya yananifikirisha sana.

CC: Eiyer , Deception , mkuyati og , pakamwam , H1N1 .
 
Unajua mkuu,walioanzisha nadharia ya HIV/AIDS wanajua wazi mikanganyiko iliyopo kuhusu dhana hii,ndio maana wanakuna vichwa kutunga nadharia nyingine za uongo ili kurubuni akili za watu na kuwafanya wasiwe na mashaka na suala zima la HIV/AIDS.Mifano;

1.Watu waliopima HIV+ kwa miaka mingi sana lakini hawaugui hata kama hawatumii ARVs huitwa CARRIERS.

2.Wanandoa wanaoishi pamoja muda mrefu lakini mmoja ni HIV+ lakini mwingine ni HIV- huitwa DISCORDANT COUPLES.

3.Baada ya kuona watu wenye huyo HIV wanaugua kwa viwango na kasi tofauti katika maeneo tofauti duniani wakaja na nadharia ya HIV-1 na HIV-2.

SWALI:
Je,mimi niliyejidunga damu ya mtu alipima HIV+ na baada ya muda mrefu nilipima HIV- watatumia nadharia gani kujibu huu mkanganyiko?Inabidi tuwaite WHO waje Tanzania kunifanyia uchunguzi.Ha ha haaa,kweli knowledge is power.


Deception, je ungetumia ile treatment ya kuuzia usipate maambukizi ungedhurika? Yaani baada ya kujidunga hiyo sindano by accident.

Mambo ya HIV magumu. By and large ni miradi ya kukuza uchumi wa mataifa fulani. Jamani wakitoa dola milioni 200 basi 150 zinarudi kwenye viwanda yao na staff wao.
 
Pia niulize, maambukizi ya HIV yako almost sambamba na Hepatitis. Mbona hepatitis haiongelewi hivyo?
 
Bro, najua wewe ni mwelewa na unapenda kujifunza zaidi. Njia sahihi ya kujibu hoja ni kutoa hoja ila kama nilivyosema mwanzo hii ishu ya HIV - AIDS ni Pana sana. Ugumu mwingine ni juu ya lugha, kiswahili hakina misamiati sahihi na ya kutosha kuelezea yote yanayopasa kuelezewa kwa usahihi Bila mkanganyiko. (ref. Mkanganyiko wa ukimwi wa HIV na "ukimwi mwingine"). kwa kubeza," understandably", umeita watu humu "learned brothers" sio kama complement kwao, Bali kama njia ya kuonyesha dharau.

Sasa, hoja hujibiwa kwa hoja. Conspirators humu wameibua hoja zao kwa kujifunza kupitia uelewa wao wenyewe,, Lakini pia kwa kutumia sources za mtandaoni.
Sasa basi, kwako wewe na wale wote ambao understandably wana doubt kwamba HIV haisababishi AIDS, naweka proof beyond reasonable doubt kwamba HIV husababisha AIDS.
FUATILIA HII LINK HAPA, KAMA UMEKUJA THIS FAR NAAMINI WEWE SIO MVIVU WA KUSOMA, MAANA WEWE NI LEARNED BROTHER, PA KINGEREZA KILICHOTUMIKA NI RAHISI KWAKO YEYOTE KUELEWA.

PROOF THAT HIV CAUSES AIDS:

www.niaid.nih.gov/topics/hivaids/understanding/howhivcausesaids/pages/hivcausesaids.aspx

sorry nimeshindwa ku-add link moja kwa moja maana natumia simu. Please copy hyo "link" uipaste kwenye searchbar ya device yako ili uweze kuifungua na kusoma. Nikipata muda na PC nitarekebisha.

NB: pamoja na kueleza kwanini HIV inasababisha AIDS, pia article hii inajibu maswali yote juu ya conspiracy za ukimwi. Maswali na hoja zote zilizo humu jamvini majibu yake ni ndani ya article hii, swali kwa jibu Lake.
mkuyati og ni kiswahili hakina msamiati wa kutosha au vichwa/bongo za waswahili hazijaweza kufikiri kufikia pale ambapo wengine wamefikia na kutengeneza msamiati wa kile walichofikuiri ?
Nasema hivi kwa kuwa hata mjadala juu ya matumizi ya kiswahili kufundishia chekechea hadi chuo kikuu, kuna watu tena wasomj kabisa wanalaimu msamiati wa lugha ya kiswahili kutojitosheleza kama kwamba akili inakopwa kutoka kwenye lugha.
Kwangu Mimi Fikra za aina hiyo ndicho kikwaza cha maendeleo kielimu iwe utabibu au nyingine yoyote.
Kama hakuna msamiati na kwamba wenye lugha hawajafikiri kuhusu jambo au nadharia husika na kutafuta msamiati mwafaka...
 
Last edited by a moderator:
mkuyati og ni kiswahili hakina msamiati wa kutosha au vichwa/bongo za waswahili hazijaweza kufikiri kufikia pale ambapo wengine wamefikia na kutengeneza msamiati wa kile walichofikuiri ?
Nasema hivi kwa kuwa hata mjadala juu ya matumizi ya kiswahili kufundishia chekechea hadi chuo kikuu, kuna watu tena wasomj kabisa wanalaimu msamiati wa lugha ya kiswahili kutojitosheleza kama kwamba akili inakopwa kutoka kwenye lugha.
Kwangu Mimi Fikra za aina hiyo ndicho kikwaza cha maendeleo kielimu iwe utabibu au nyingine yoyote.
Kama hakuna msamiati na kwamba wenye lugha hawajafikiri kuhusu jambo au nadharia husika na kutafuta msamiati mwafaka...

umesoma link niliyoweka lakini? jaribu kuipitia kwa uchache tu utapata kitu. hakuna kipya kinachojadiliwa humu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu multikasuku , thanks sana learned brother kwa ufafanuzi wako wa kitaalaamu. Nazidi kujifunza mengi sana kuhusu hili dubwana HIV/AIDS.

Hapo kwenye BLUE: Ni mtaalaamu (MD) mwenzako ndo katupa hiyo knowledge kwamba kumbe kuna AINA mbili za UKIMWI, refer quote yake nimeiweka hapo. Too bad learned brothers wenyewe mnakanganyana kwenye hoja zenu!

Hapo kwenye RED: Umeeleza na nimeelewa kwamba kirusi wa HIV akiingia mwilini anajishikiza kwenye T-Cell, yaani T-Cell ndo host wa HIV, kisha kirusi huyo anaanza kuzaliana (to replicate) taratibu over years, na kisha virusi hao huanza kuziua izo host T-Cells ambazo ndo kinga yenyewe ya mwili. Ukaeleza kuwa, hivyo basi ARVs zinafanya kazi ya kuzuia hao virusi wa HIV kuzaliana, thus ARVs' function is to stop the HIV from replicating!

SWALI 1: Je hizo ARVs zinafunction kivipi (how) ili kuzuia hiyo 'replication' ya HIV ?? Achilia mbali suala la kumuua/kumuangamiza
kabsa uyo kirusi, coz najua utajibu kwamba 'ana-mutate'. Ni vizuri utupe mechanism kabsa

SWALI 2: Provided that HIV lazima ajihost (aingie) kwenye T-Cell; Provided that it is difficult to fight it unless you sacrifice your own cells; JE katika kuzuia/kufight hiyo HIV replication, ARVs hazidhuru kabsa T-Cells kwa namna yoyote ile ??

SWALI 3: If wewe mwenyewe umekiri kwamba ''it is difficult to eliminate/fight it unless you sacrifice your own cells'' , Sasa ni nini hasa kinachokufanya ukatae/ubishe kuwa ARVs ni fatal zinaua kinga na kusababisha UKIMWI ??

Ni maswali mepesi kabisa ambayo by common sense yana tija kubwa, na wala sio kubeza! Kwakweli mimi ambae ni layman ktk medical expertise, maswali haya yananifikirisha sana.

CC: Eiyer , Deception , mkuyati og , pakamwam , H1N1 .

kuna "link" nimejaribu kuweka ktk post yangu niliyomjibu Eiyer, nimem -quote kimakosa,nilitaka niku-quote wewe.iko post ya hapo juu, tafadhali sana pitia ili uelewe mambo ya msingi kiurahisi.nasubiri feedback japo in brief, hakuna kipya kinachoulizwa humu. usiache kusoma learned brother
 
Ushauri kwa madokta na mnafuatilia huu uzi .......nilichogundua huyu mleta na Deception . Either ni watu wawili wanaojuana . Au ni mtu mmoja anayetumia I'd mbili kutaka kutengeneza jina kuhadaa watu walio desperate yaani wagonjwa au wenye relatives waathirika ili wapige hela . Huu sio uzi wa kwanza kuanzishwa na deception na akawa msemaji mkuu abt yeye kutibu ukimwi . Akaona kama haitoshi now kaja na jipya kwamba ana mwaka mmoja tokea ajidunge damu ya mtu mwenye ukimwi na hajapata ukimwi . Mwenye kuelewa na aelewa . Na ndio maana lengo lake kubwa kuwadharau madokta ili kuwahamisha wagonjwa kutoka mahospitalini na kutafuta yeye tenda ya kuwatibu . Ingawa anasema eti atawatibu bure .......eti yuko tayari kushtakiwa . Ndio maana Mimi nimemshauri afungue clinic yake aitangaze atapata msaada hadi kutoka serikalini sijui anaogopa nini .
 
Mkuu multikasuku , thanks sana learned brother kwa ufafanuzi wako wa kitaalaamu. Nazidi kujifunza mengi sana kuhusu hili dubwana HIV/AIDS.

Hapo kwenye BLUE: Ni mtaalaamu (MD) mwenzako ndo katupa hiyo knowledge kwamba kumbe kuna AINA mbili za UKIMWI, refer quote yake nimeiweka hapo. Too bad learned brothers wenyewe mnakanganyana kwenye hoja zenu!

Hapo kwenye RED: Umeeleza na nimeelewa kwamba kirusi wa HIV akiingia mwilini anajishikiza kwenye T-Cell, yaani T-Cell ndo host wa HIV, kisha kirusi huyo anaanza kuzaliana (to replicate) taratibu over years, na kisha virusi hao huanza kuziua izo host T-Cells ambazo ndo kinga yenyewe ya mwili. Ukaeleza kuwa, hivyo basi ARVs zinafanya kazi ya kuzuia hao virusi wa HIV kuzaliana, thus ARVs' function is to stop the HIV from replicating!

SWALI 1: Je hizo ARVs zinafunction kivipi (how) ili kuzuia hiyo 'replication' ya HIV ?? Achilia mbali suala la kumuua/kumuangamiza
kabsa uyo kirusi, coz najua utajibu kwamba 'ana-mutate'. Ni vizuri utupe mechanism kabsa

SWALI 2: Provided that HIV lazima ajihost (aingie) kwenye T-Cell; Provided that it is difficult to fight it unless you sacrifice your own cells; JE katika kuzuia/kufight hiyo HIV replication, ARVs hazidhuru kabsa T-Cells kwa namna yoyote ile ??

SWALI 3: If wewe mwenyewe umekiri kwamba ''it is difficult to eliminate/fight it unless you sacrifice your own cells'' , Sasa ni nini hasa kinachowafanya mkatae na kubisha kuwa ARVs ni fatal zinaua kinga na kusababisha UKIMWI ??

Ni maswali mepesi kabisa ambayo by common sense yana tija kubwa, na wala sio kubeza! Kwakweli mimi ambae ni layman ktk medical expertise, maswali haya yananifikirisha sana.

CC: Eiyer , Deception , mkuyati og , pakamwam , H1N1 .

...sijui nianzie wapi!!

Inaonesha hauwezi kubaki kwenye hoja moja! Uzi ulikuwa unahusu VVU na upimaji wake, lakini naona unataka upewe sasa jinsi dawa zinavyofanya kazi (SWALI 1). Unachosahau ni kuwa hizo dawa ziko za classes tofauti na zinamechanism tofauti. Unapopigana na adui unahitaji ushambulie kotekote hivyo ndivyo na dawa hizi ziko katika class tofauti zikijaribu ku-attack kwenye fronts zote.

Kwa wale waliotangulia kutumia dawa hizi watakumbuka walikuwa wanapewa mzigo wa dawa wanameza moja moja unakuta una dawa kama tatu nne hivi kwa siku. Ila with maendeleo kwa sasa una weza kuwa unameza kidonge kimoja tu kwa siku. Hili ndilo nadhani linakuchanganya ukadhani ni dawa moja ambayo unahitaji mechanism of action yake bila kujua kuwa hii ni mchanganyiko wa zile zile dawa nyingi. Kwa kiduchu tu ili unisome kuna zinazozuia kimeng'enyo (enzyme [i stand to be corrected]) cha "protease", kuna zinazozuia kimeng'enyo cha reverse transcriptase [hapa ziko class mbili] na kuna zinazozuia pale kwenye entry ya seli ili kirusi kisiingie ndani, hii ni kwa juu juu tu ukitaka utamu wenyewe nenda pale MUHAS wakakufunze pharmacology. Kuelezea kwa kina mechanism ya dawa moja moja zinazotengeneza hiyo combinenga amaizing itakuwa nje ya mada mkuu naomba tuwatendee haki wasomaji wengine.

Kuhusu swali la 2, ARVs hazina madhara kabisa katika hizo seli. Ila ikumbukwe kitu chochote kinaweza kuleta madhara mwilini. Mfano ukinywa maji mengi mwilini kuliko kiwango kinachoweza kuwa tolerated kunaweza kukuletea madhara mfano electrolyte imbalances etc, then utauliza mbona maji tunakunywa kila siku..! ARVs kama dawa zingine pia zina madhara hasi kama zilivyodawa nyingine, and this is unfortunate ila kwa bahati nzuri inatokea kwa wagonjwa wachache (hasa pale wanapoanza kutumia dawa [na hili lina kamsemo kazuri tu "kuwa mwanzo mgumu"]) sana ukilinganisha na umati ambao dawa zinasaidia. Sasa kwenye ile concept ya for the greater good, inakuwa hakuna namna nyingine tena zaidi ya kutolerate hizo side effects chache kwa muda mfupi ili upate faida za muda mrefu. Ila kumbuka maendeleo yanazidi kupunguza matukio/madhara haya, na ukiangalia tulikotoka na tuendako utautambua ukweli huu.

Swali la 3, ndio linajibika kirahisi na ni kama marudio ya maelezo hayo hapo juu. Ukipunguza kiwango cha virusi mwilini (kwa kuzuia kuzaliana kwao) ambao wanaweza kushambulia seli nyingine ambazo hazijawa compromised, maana yake ni kuwa seli ambazo hazijashambuliwa zinabaki katika ubora wake na kufanya kazi kama jembe letu.... na kufanya kinga kuwa imara. Na hii ndio imefanya kwa kiwango kikubwa maisha ya watu wetu yameboreka. Hivyo si sahihi na ni UONGO ambao inabidi tuukemee kuwa ARVs ni fatal zinaua kinga na kusababisha UKIMWI.

I truly like your passion for the subject, but i am not pleased with your motive and this i must say point blank. Mkiendelea kupotosha watu humu mnarudisha nyuma ushindi ambao umepatikana kwa muda mrefu tena kwa gharama kubwa sana. But again, i am only human who am i to judge and think that i am right and you are wrong. But the evidence vividly there to see.

Dah ishakuwa ndefu tena...! Poleni
 
PROOF THAT HIV CAUSES AIDS

HIYO LINK HAPO JUU INA PROVE BEYOND REASONABLE DOUBT JUU YA KILE AMBACHO TUMEKUWA TUNAVUTANA HUMU KILA SIKU, MWENYE UELEWA NA AELEWE. MASWALI YOOTE YALIYOULIZWA HUMU NA CONSPIRATORS AND DOUBTERS YAPO HIVYO HIVYO KWENYE HIYO ARTICLE HAPO JUU,PAMOJA NA MAJIBU YAKE KISAYANSI NA KITAKWIMU. STAY SAFE.
 
Back
Top Bottom